Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

MATAGA - Make Tanzania Great Again, waliiga hilo jina kutoka Marekani miaka ile ya Donald Trump aliyetengeneza kofia nyekundu za kampeni.

Wale walikuwa ni chawa sawa na hawa wa awamu ya sita na wengi wao wanaumia kuwaona hawa wa awamu ya Sita wakila bata muda huu, wanasahau maisha ni kupokezana kila kinachotokea.
Kumbe ukiwa chawa unakula bata?
 
Hapa tunzungumzia hali ya uchawa kwa maana uchawa ni zaidi ya kusifia tu pale unapoona jambo zuri. Chawa ni mtu mzima aliyejipa kazi kusifia tu mwanzo mwisho na kupambana na anaye kosoa maana kwake mtu huyo ni hater.
Nilikuuliza maana ya uchawa ukanipa maana ya kwamba ni kusifia mazuri ya serikali Sasa unaleta mbwembwe zingine,maana nyingine ya uchawa ni nini?

Maana ya pinga pinga kila kitu tuwaitaje?
 
Upigaj uendelee tu hamna namna watu tunajali matumbo yetu,. Pesa za ndege na SGR zingeenda ktk miundo mbinu ya maji na umeme, nchi ingependeza,,

Nchi ina vyanzo vya maji kede,, au upinzani utakuja kutatua haya?! 😂
 
Lengo kuu la machawa ni kusifia tu (ilimradi kusifia) na wanajitambulisha hivyo kama ulivyoona ila sasa anapotokea mwenye kukosoa inakuwa ni kama kutia doa kazi yao na hapo unakuwa hater kwao na ndipo huanza mashambulizi.
Sasa Mimi Huwa nasifu vitu concrete
 
Upambe wowote ule ukifanyika vizuri watu watakula sana bata. Ingawa inataka mtu kuwa na roho ngumu sana kuweza kuwa na tabia za Mwijaku. Anapenda sifa mpaka anakera.
Ndio maana nashangaa hawa wanaojiita machawa wa kujitegemea et kwamba hafaidiki anafanya tu uchawa na hatarajii chochote kile kupata kwa huo uchawa.
 
Upigaj uendelee tu hamna namna watu tunajali matumbo yetu,. Pesa za ndege na SGR zingeenda ktk miundo mbinu ya maji na umeme, nchi ingependeza,,

Nchi ina vyanzo vya maji kede,, au upinzani utakuja kutatua haya?! 😂
Kwani huko unakokusema pesa haziendi? Nikuoneshe zinavyoenda?
 
Mwanza Airport jengo la abiria ovyo limesahaulika. hapo ccm ina kazi ya kushawishi. kwa hiyo sikubaliani na hoja kuwa kila mkoa una uwanja wa ndege unajengwa. Nenda Mwanza airport uone Magofu yaliyopo ni aibu kubwa kwa jiji kubwa la pili kuwa na uwanja kama ule. kila kitu kinasuasua.
 
Nice . Ila nikwambie tu kwa case ya morogoro,haiwezi kuwa na uwanja wa ndege kwa matumizi ya uchukuzi wa umma kwa maana tayari morogoro na anga lake ni restricted military airspace.
Kumbe ndivyo ilivyo!!!? Kutua na kupaa kwa ndege kubwa kunapendezesha sana mji, kila siku nilikuwa natamani kusikia neema ya Kiwanja cha Kisasa Moro.

Vijiweni mwetu stori zilikuwa ni sababu ya kukosekana kwa abiria(ukaribu na Dar)+milima. Nikajisemea kama ni Milima mbona Nepal kuna viwanja vya ajabu milimani.
 
Naomba ufafanuzi kidogo hapa mkuu kwenye eneo la millitary airspace .....Navuta kitu kabisa
Labda anamaanisha Iron Dome zetu ndiko zinakoishi kwa ajiili ya mpumbavu yeyote atakayetuchokoza.

Ila poa tu, maana Anga la Milima ya Uluguru ni Takatifu chini ya Chifu Kingalu MwanaBanzi, isingekuwa vema kulinajisi kwa hayo machumachuma ya mzungu.
 
Back
Top Bottom