Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege

Anga la Tanzania ya Samia linazidi kufunguka. Bado mikoa 7 tu kupata Uwanja wa Kisasa wa Ndege


View: https://www.instagram.com/p/DAJOeJgtqZt/?igsh=OW5udGVkamp3cWVx
Screenshot_20240920-190920.jpg
 
Unakuja maana ya kiwanja Cha ndege au Bangi zimekutuma upambe...Kwa taarifa yako hata uwanja wa ndege wa Mwanza sio wa kimataifa.!
 
Naendelea kuwakumbusha kazi nzuri na ya kutukuka inayofanywa na Serikali ya awamu ya 6 Chini ya Mama wa Vitendo Rais Dr Samia.

Serikali ya mama imekamilisha ujenzi wa viwanja kadhaa vya ndege vikiweno vifuatavyo;
  • Songwe Airport Mbeya
  • Songea Airport Ruvuma
  • Chato Airport Geita
  • Dodoma Airport
Kazi ya ujenzi na ukarabati wa viwanja 16 kwenye Mikoa 11 zinaendelea na ambapo zipo katika hatua mbalimbali
  • Msalato International Airport-Dodoma
  • Arusha Airport
  • Moshi Airport
  • Mwanza Airport
  • Shinyanga Airport
  • Sumbawanga Airport
  • Musoma Airport
  • Mpanda Airport
  • Mtwara Airport
  • Kigoma Airport
  • Iringa Airport
  • Tanga Airport
  • Mtemere Airport -Nyerere National park
  • Kikoboga Airport Mikumi NP
  • Ruaha NP Airport(2 Airports)
  • Kahama Airport
Maandalizi ya kuanza Ujenzi wa viwanja Mikoa ifuatayo yanaendelea na Yako kwenye hatua mbalimbali za utekelezwaji 👇👇

Singida
Manyara
Njombe
Simiyu
Lindi
Songwe
Serengeti
View attachment 2988504

My Take
Namba zinajieleza Kila mtu Morogoro Iko reserved Kwa sababu za kiusalama ingawa Ina uwanja wa Kijeshi.

View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1710214957667602608?t=xy3XFtoUUtAKPSF-2XubRA&s=19
View attachment 2931212

Maccm ni majizi makubwa sana na majinga sana! Jiwe alikuwa anachukia sana Kaskazini kipuuuzi TU, akakataa kupanua uwanja wa Arusha Kisongo ambao Kwa siku una miruko ya ndege 150 anaenda kujenga uwanja wa kimataifa Kule porini Chato, Sasa wanaanika mpunga na mifugo kupumzikia! Jinga na baguzi kubwa sana!
 
Unakuja maana ya kiwanja Cha ndege au Bangi zimekutuma upambe...Kwa taarifa yako hata uwanja wa ndege wa Mwanza sio wa kimataifa.!
Mafala kama nyie sijui Huwa mumejaza nini kichwani.

Mada yangu haihusu hadhi ya viwanja vya ndege Bali Viwanja Kwa ujumla wake vya ngazi tofauti.

Mwisho hata Hilo unalosema nalifahamu na liko kwenye process ya kuwa na hadhi hiyo Kwa mujibu wa mamlaka 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DAVjhiSN8I7/?igsh=MTJ1NmJ4aW5maXQ2Zg==

Jikite kujadili hoja
 
Back
Top Bottom