Duuhh ndio uchambuzi Huu, au umeandika kama Stori za kiniweni.
Hujiulizi kwann Ziara zao zinafanyika Kwa usiri mkubwa???
Na usichokijua, Hao Ulaya wenyewe pamoja na kutumia usiri .
Bado wanatoa taarifa Kwa urusi kupitia mpango wa Pili, ili urusi kwakutokujia, isije kufanya mashambulizi yakagharim Uhai wa viongozi hao.
Nato ni waoga sana, wataishia kutuma javelin na mercenaries tu ila kamwe hawatoingia kwenye direct war na Russia. Kaangalie mji wa mariupol je waingereza na warusi watakubali London na Moscow ziwe vile???? Kamwe hawatakubali... sehemu ya kupiganiwa itakua Ukraine, syria na kwingine. Lazima uzijue siasa za dunia kaka.
Hebu ongezea nyama Mkuu! Kigoma kuna Warusi wanafanya nini?Nawaona Warusi wa pale Kigoma Ujiji wanavyofwonza huko.
Hakuna vita bila planGagnija ndugu yangu ukweli ni kwamba hata kwenda kwa kuvizia bado ni kujiamini kwani hizi kambi mbili i.e. Urusi vs West zinafanyiana ushushu wa kiwango wa juu sana na hata kwenda kwa kuvizia inaweza ku-leak kabla hajaenda. Unadhani Urusi hana watu wake ndani ya eg USA, UK nk? Wapo wengi tena wengine ni kwenye sehemu nyeti sana hivyo wanaweza kutoa siri kama hata ziara haikutangazwa. Unajua hivi vita Ukraine wanapewa tafu kubwa sana na nina uhakika wako mashushushu wengi wa special forces za nchi za Magharibi wako vitani wakisaidia kwa utaalam wao.
Labda Mrusi wa Buza.Urusi anakuwa amepewa taarifa mapema juu ya wakubwa hao wanaokwenda Ukrain. Mambo hayafanyiki kienyeji kama unavyodhani.
Sawa amiri jeshi wa ukraineLabda Mrusi wa Buza.
Wa Moscow ataaminiwa na nani anayeweza kuvamia nchi baada kuapa mara elfu kidogo kuwa hakuwa na mpango huo?
Kumbuka sasa hivi yuko mashariki peke yake. Kapoteza watu, vifaa hadi majenerali.
Kwa jina sahihi kapewa kipigo cha mbwa koko!
Mzee Putin anaogopa hata kivuli chake.... anajisahaulisha kwamba hadi picha zimerushwa live wakiwa kikaoni. Putin ndicho kiumbe kinacholindwa kuliko kitu chochote kwa sasa; ndicho kiumbe chenye hofu kuliko kiumbe chochote chini ya Jua kwa nyakati hizi; hata digidigi wana amani kuliko Putin.
Sawa amiri jeshi wa ukraine
Ila Putin ni Baba Lao ayseee.
Marekani na Mataifa yooooote ya Ulaya na Asia wanakigugumizi dhidi ya Nchi yae na Jamaaa yuko straight hapindishi ni mwendo wa bakora tu mpaka Ukuwadi wa Ukraine ukome. Marekani ndio wajue wababe wapo wengi tu siyo peke yao kuna Kiduku na Korea, Kuna Marekani na Baba Lao Putin na Urusi
LOOoooh, uandishi mara nyingi ni mgumu sana, hasa unapokuwa uandishi wa ki-nazi!Umeshudiwa ugeni mzito nzito Kyiv Ukraine, katika kipindi hiki cha mgogoro.
Rais wa umoja wa Ulaya amefika Kyiv. Mawaziri wakuu toka Czech, Slovenia, Poland na juzi UK nao wamefika pale wakajivinjari kwa raha zao.
Aungurumapo Simba mcheza nani?
Haitakuwa ajabu kusikia Marine Moja imetimba pale na wanaume wakivinjari mitaani Kyiv kama kwao.
Beberu hajawahi kufanya ajizi na usalama wake kama tulivyo sisi magwiji wa nyungu. Popote aendako yeye si habari mpya kumsikia akichukua jukumu lote la ulinzi likiwamo la anga ugenini.
Ilikuwa hivyo na Obama Dar es salaam. Ilikuwa nusu hivyo na Ghadafi ugenini.
View attachment 2185031
Aupate wapi utulivu wa kuhutubia mabunge duniani Zelensky, kwenye hatari ya mvua ya makombora asiyokuwa na udhibiti nayo?
Yumkini ndicho kilichomfurusha Mrusi hadi aliko sasa.
Kukiitwa, "kukiona cha mtema kuni!"
Marekani aliua Afigastan, Libya nk nk mbona hatukuona mkileta ushabiki. Hao watoto wanauwawa kwa Kiburi cha Rais wao, Rais wao angeona Uhai wa hao watoto una faida angemuita Mrus Mezan akubali yaishe, lkn kwakuwa anaona Kutumika na Marekani ni heri kuliko Uhai wa hao watoto mimi ni Nani niwe na Uchungu. Rais wao abebe lawamaWale wanawake, watoto na wengine wasio na hatia wanaokufa kule bure, wanakufikirisha kwa lolote ndugu?
EeeenHeeee!Wale wanawake, watoto na wengine wasio na hatia wanaokufa kule bure, wanakufikirisha kwa lolote ndugu?
Marekani aliua Afigastan, Libya nk nk mbona hatukuona mkileta ushabiki. Hao watoto wanauwawa kwa Kiburi cha Rais wao, Rais wao angeona Uhai wa hao watoto una faida angemuita Mrus Mezan akubali yaishe, lkn kwakuwa anaona Kutumika na Marekani ni heri kuliko Uhai wa hao watoto mimi ni Nani niwe na Uchungu. Rais wao abebe lawama
Hivi huna taarifa kuwa mRusi alishatangaza kuwa huko hana 'interest' nako; amekwishatimiza malengo aliyojipangia sehemu hiyo na kuondoka?
Hajui tu viongozi wa waafrika walivyo wanafiki wanamchora tu huku wanatazama upepoAfrika tunamsubiri atuhutubie!
Mrusi wa Buza usichokijua NATO wataingilia kati muda siyo mrefu kumfurusha Putin,walikuwa wanamchora kwa mbali kuona pumzi yake wameshamuona kumbe msukule mwanzo ilikuwa nguvu ya soda.Mbona ziara ya Johnson haikutangazwa mapema kabla hajafika huko! Wanakwenda kwa kuvizia kama wachawi.