KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Sikutaka kujibu mfululizo hivi ndani ya mada hii, lakini nimejikuta nashindwa kucheka, na kujizuia nisiweke mchango mwingine hapa.Hii ni vita ya kipuuzi katika dunia iliyostaarabika....
Wewe unaiita "vita ya kipuuzi", kwa vile hujui kinachopiganiwa.
Halafu unaiita "dunia iliyostaarabika...), sijui ni dunia gani hiyo uliyonayo akilini mwako.
Hao jamaa wanaochochea vita huko wanajiita wao ndio "walio staarabika"! Wengine wote duniani bado ni watu mashetanishetani vile! Wasiostaarabika!