HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kwamba wewe wajua zaidiDuuhh ndio uchambuzi Huu, au umeandika kama Stori za kiniweni.
Hujiulizi kwann Ziara zao zinafanyika Kwa usiri mkubwa???
Na usichokijua, Hao Ulaya wenyewe pamoja na kutumia usiri .
Bado wanatoa taarifa Kwa urusi kupitia mpango wa Pili, ili urusi kwakutokujia, isije kufanya mashambulizi yakagharim Uhai wa viongozi hao.
Sent using Jamii Forums mobile app