Anga la Ukraine Yumkini mikononi mwa NATO

Hii ni vita ya kipuuzi katika dunia iliyostaarabika....
Sikutaka kujibu mfululizo hivi ndani ya mada hii, lakini nimejikuta nashindwa kucheka, na kujizuia nisiweke mchango mwingine hapa.

Wewe unaiita "vita ya kipuuzi", kwa vile hujui kinachopiganiwa.

Halafu unaiita "dunia iliyostaarabika...), sijui ni dunia gani hiyo uliyonayo akilini mwako.

Hao jamaa wanaochochea vita huko wanajiita wao ndio "walio staarabika"! Wengine wote duniani bado ni watu mashetanishetani vile! Wasiostaarabika!
 
Mbona ziara ya Johnson haikutangazwa mapema kabla hajafika huko! Wanakwenda kwa kuvizia kama wachawi.
Hahahahahah mkuu ilitangazwaa niliona live CNN tangazo la yeye kutinga Kyiv, European union pia ilikuwa wazi sana hata siku 2 kabla
 
Hahahahahah mkuu ilitangazwaa niliona live CNN tangazo la yeye kutinga Kyiv, European union pia ilikuwa wazi sana hata siku 2 kabla

Habari mbaya sana hiyo kwa warusi wa Kigoma na kote kwingine waliko nchini
 
Mwambieni Zelensky, serikali ya Tanzania chini ya Samia ipo tayari kujitolea kulinda anga la Ukraine kwa gharama sifuri. Na mbwa yeyote atakayeleta fyoko fyoko atashikishwa adabu.
 
Ulinzi wa Magufuli ni mara 100 ya ulinzi wa Putin
 
Nilitegemea swali la mdau litapata jibu la kipumbavu kama hili.
 
Mwambieni Zelensky, serikali ya Tanzania chini ya Samia ipo tayari kujitolea kulinda anga la Ukraine kwa gharama sifuri. Na mbwa yeyote atakayeleta fyoko fyoko atashikishwa adabu.

Kujimwambafy hakujawahi kumwacha mtu salama.

Kuna wenzetu kimasikhara wamebaki kutoa povu:

 
Mrusi wa Buza usichokijua NATO wataingilia kati muda siyo mrefu kumfurusha Putin,walikuwa wanamchora kwa mbali kuona pumzi yake wameshamuona kumbe msukule mwanzo ilikuwa nguvu ya soda.

Wanaenda kuzaa nae believe me!
Ujinga wa aina hiii ndio utafanya WaUkraine wateketee, hao NATO wataweka Base yao wapi?? Watakapojibizana na Mrusi watoto wa wapi watakufa?? Ndio mbaya zaidi maaana Warusi watakufa, WaUkraine Watakufa Mrusi atapiga kwa Washirika wa NATO wote madhara yatakuwa mara 100 zaidi. So kushangilia kwamva NATO aningilia ni ujuha na Upuuuzi. Jambo la kupigiwa chapuo na kushinikiza MRUSI akae meza Moja na Ukraine wayamalize basi hata kama yanawakera hao Mafirauni wa Magharibi yeye akubali ili kuokoa Uhai wa watu wake na siyo kusikiliza Magharibi na Amerika wana mshinikiza vipi
 

Uzalendo ni pamoja na kuwa tayari kuifia nchi si kusalimu amri.

Aghalabu ujinga zaidi nikujidhania kuwa na mawazo bora kabisa kuliko Ukraine nzima kama nchi.

Ujinga uliopitiliza na kutopea ni kudhani nchi zote zinazolaani UN si mali kitu ila wewe.

Mamburula kwenye ubora wetu:

 
Mbona ziara ya Johnson haikutangazwa mapema kabla hajafika huko! Wanakwenda kwa kuvizia kama wachawi.
Kwa hiyo Urusi hana uwezo wa kuona? Hana spies hapo Kyiv kujua nani yupo au kaja?

Mbona Marais wengine wa EU hutamgaza kabisa kuwa siku fulani twaenda Kyiv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…