Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh kwani ndio watunzi mkuu?
Thibitisha kauli yko mkuu
Anafurahisha genge shemelammh kwani ndio watunzi mkuu?
Itakuwa hivyoAnafurahisha genge shemela
Huu ni uongo.
pole sana mkuu steveHabari zenu wakuu. Ni siku tatu sasa sipo hewani si kwamba nimewasahau ila nilipotewa na simu yangu smartphone ambayo ndiyo natumia kuandikia simulizi na kutuma pia.
Kwa siku tatu sikuwa whatsapp (kwa wale wenye namba yangu wanajua), jamii forum wala insta.
Nashukuru leo nimepata simu ya kujishkiza hivyo naanzq kuandika upya. Imebidi pia niingie huku ili nijue niliishia wapi sehemu iliyopita. Nashukuru kwa uvumilivu
Uwe unafikilia vya kuongea sio unaropokwa ningekuwa nakuja kulia lia huku mbona we story yako arosto mpaka leo na we ulitupa tusome
Pole sana tivuHabari zenu wakuu. Ni siku tatu sasa sipo hewani si kwamba nimewasahau ila nilipotewa na simu yangu smartphone ambayo ndiyo natumia kuandikia simulizi na kutuma pia.
Kwa siku tatu sikuwa whatsapp (kwa wale wenye namba yangu wanajua), jamii forum wala insta.
Nashukuru leo nimepata simu ya kujishkiza hivyo naanzq kuandika upya. Imebidi pia niingie huku ili nijue niliishia wapi sehemu iliyopita. Nashukuru kwa uvumilivu
Asante sana mamaPole sana tivu
Nishasema hii story naimaliza. Amini nakwambia.Nina iman watu tutapona maana takriban 3days now hatujapata antidote so watu wako hoi kam Jona
Pole Sana kamanda SteveHabari zenu wakuu. Ni siku tatu sasa sipo hewani si kwamba nimewasahau ila nilipotewa na simu yangu smartphone ambayo ndiyo natumia kuandikia simulizi na kutuma pia.
Kwa siku tatu sikuwa whatsapp (kwa wale wenye namba yangu wanajua), jamii forum wala insta.
Nashukuru leo nimepata simu ya kujishkiza hivyo naanzq kuandika upya. Imebidi pia niingie huku ili nijue niliishia wapi sehemu iliyopita. Nashukuru kwa uvumilivu
Mkwe anazingua huyo!!! Yeye anaona kwa wenzake kwake hapaoni ama kweli nyani haoni kundule, mtu katuwekea viporo mpaka vinaoza anakuja kuanzisha ngonjera hapaUwe unafikilia vya kuongea sio unaropokwa ningekuwa nakuja kulia lia huku mbona we story yako arosto mpaka leo na we ulitupa tusome
Yani mkuu kule ndo umetukimbia umekuja kuwa teja kwenye hii thread?