Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

Huyu tatizo lake nalifahamu sura yako tu imemdatisha
We koncho we unatutafutia nini kwa "tivee " lkn ?
Mbona mkorofi hivi wewe?

Na hem nijibu kwanza hivi steve ni " ke " au "me" ?

Mpaka useme nidatishwe na sura yake?

Unaenda chaka .....

Tutakosa wote anga ....
 
Post zake tu zinaonesha ni jinsi gani amefall in love

Mbona umeshupalia sana hilo mkuu...ni nini shida.....

Nitake radhi mkuu...dhana mbaya afu una ramli chonganishi ....[emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji1]
 
Back
Top Bottom