Can't wait[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Leo naja. Mambo si ya kitoto kabisa!
Leo naja. Mambo si ya kitoto kabisa!
Mekumiss jamaniNi nzuri, kitamu huonjwa my Clkey
Mkuu tunakusubiri kwa hamu walahi.Leo naja. Mambo si ya kitoto kabisa!
Hujatufanyia Fair kabisa kamanda watu tupo macho tunakusubiri Sasa kunapambazuka nawe kimya.Leo naja. Mambo si ya kitoto kabisa!
Mkuu ndo nini hicho umeandika?Hujatufanyia Fair kabisa kamanda watu tupo macho tunakusubiri Sasa kunapambazuka nawe kimya.
Uwe unatoa ahadi za ukweli siyo unasema unakunya alafu unyi!!
Hujatufanyia Fair kabisa kamanda watu tupo macho tunakusubiri Sasa kunapambazuka nawe kimya.
Uwe unatoa ahadi za ukweli siyo unasema unakunya alafu unyi!!
Mkuu ndo nini hicho umeandika?
Mkuu jitahidi kutofautisha kati ya fb na jf.Hujatufanyia Fair kabisa kamanda watu tupo macho tunakusubiri Sasa kunapambazuka nawe kimya.
Uwe unatoa ahadi za ukweli siyo unasema unakunya alafu unyi!!
Sure thing mkuu. Kuna watu hawana staha wala uvumilivuMkuu jitahidi kutofautisha kati ya fb na jf.
Tuache na Steve wetu make wengine tunaenda sawa. Steve hajawahi kutuangusha hata siku moja.