SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
- Thread starter
-
- #3,861
Asante kuniamini, mkuu.Me nakubaliana na wewe unaweza steve unaweza kuiendeleza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila wajamaa nyie mnapenda kuoana, do! waoane waoane!
Mkuu ni ya kijajusi ndani yake?Mwezi wa tano tarehe moja, nitaanza kutuma simulizi hii whatsapp kwa ada ya alfu mbili tu. na kwa wale watakaokuwa wanaihitaji yote, nitawatumia kwa shilingi alfu tatu tu. Namba yangu ya whatsapp ni 0685 758 123. Najitahidi kuiandika kwa sasa ili tusije sumbuana kwenye kutumiana, sitaki iwe inakawia hata kidogo, na mpaka sasa Episode kumi zipo kwa 'stock'. Karibuni.
Ya mambo hayo naiandaa mpya kwa jina la LIGI YA WAKUBWA, itafuatia baada ya hii kwisha. Nataka kuandika kamili au nusu ili isiwe inasumbua kwenye utumaji.Mkuu ni ya kijajusi ndani yake?
Safi sana Mkuu mollelningependa kuiendeleza ikiwezekana.
Mkuu embu fanya hivyo aseee, tumuenzi huyu nguli mwenzionikikaa wiki moja pasi kuituma, sitaeleweka.
Mkuu kule kwako Salama lakini nakunyapia nyapia sanaNaipitia hadi sasa nataka nione kama nitaweza kupita kule alikotaka kupita japo inanipa shida jinsi ya kuuendeleza usaliti kwa kila mmoja ngoja niimalize kabisa afu nitaiweka epsod moja tu kabla hatujawatafuta ndugu zake waweke baraka zao
Shunie mi nataka nikuoe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu we endelea na ratiba yako kama kawaida. Arosto ya wiki haielezeki aiseenikikaa wiki moja pasi kuituma, sitaeleweka.
Mzee wa arosto huyo [emoji124] [emoji124] [emoji124]Mkuu kule kwako Salama lakini nakunyapia nyapia sana
Daaa natamani kuongea ila basi, Mkuu kule kwingine wanaendeleaje?wasalimu wale wa siku kabla ya leoNaipitia hadi sasa nataka nione kama nitaweza kupita kule alikotaka kupita japo inanipa shida jinsi ya kuuendeleza usaliti kwa kila mmoja ngoja niimalize kabisa afu nitaiweka epsod moja tu kabla hatujawatafuta ndugu zake waweke baraka zao
[emoji3] [emoji3] [emoji3] mwambieDaaa natamani kuongea ila basi, Mkuu kule kwingine wanaendeleaje?wasalimu wale wa siku kabla ya leo
Labda hujarudi tena huko ukirudi hautasemaDaaa natamani kuongea ila basi, Mkuu kule kwingine wanaendeleaje?wasalimu wale wa siku kabla ya leo
Ma LOVEEEEEEUna nini lakini