SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
- Thread starter
-
- #441
Nashukuru sana kwa kuwa fan wanguPamoja sana mkuu
Tangu baradhuli mwenye mikono ya chuma, njia nyembamba mpaka huku kwa bhibhie joana na msanii jona, pote huko hujawahi kumuacha mtu salama [emoji4]
Nimesha omba msamahaAlafu hata hajaandika kitu!!!
Washenzi tunatisha mkuu anga zetu hazigusiki kwa hiyo acha sisi tuanze na nyie mtamalizialeo tuanze na joana
Kweli mkuu hiyo joana naona km story za kikorea uongo mwingi tu ila Anga LA washenzi ndio yenyewe.Washenzi tunatisha mkuu anga zetu hazigusiki kwa hiyo acha sisi tuanze na nyie mtamalizia
Nashukuru sana Peter. Nitafika huko ofisini kwako siku ya Ijumaa. Lazima niwape mrejesho kaka na nashukuru kwa kuwa shabiki yangu! Much bless!Mkuu big up sana tena saana ila nimekufuatilia kimya kimya kuona kama nitapata mrejesho wa gharama za hatimiliki kama mdau mmoja alivyoshauri naona bado hujalighurikia, kuna majitu majizi ya kazi za watu na kujipatia umaarufu fake kama Dr... japo inaweza kuwa fursa pia.
Napenda za kizungu hasa crime novel lakini hizi zako zinasisimua sana, niweke wazi mimi ni fan wako
Duuu mbona mbali mkuu?! Fanya asa hv banaaView attachment 630325
Mikono yake ilikuwa inanuka damu. Kinywa chake kilikuwa kimejaa kebehi na majivuno.
.
.
USIKOSE ANGA LA WASHENZI leo saa nne usiku!
Tupo machoView attachment 630325
Mikono yake ilikuwa inanuka damu. Kinywa chake kilikuwa kimejaa kebehi na majivuno.
.
.
USIKOSE ANGA LA WASHENZI leo saa nne usiku!
Ndio ndio mzee babaView attachment 630325
Mikono yake ilikuwa inanuka damu. Kinywa chake kilikuwa kimejaa kebehi na majivuno.
.
.
USIKOSE ANGA LA WASHENZI leo saa nne usiku!
Joanaaa bwanaaView attachment 630325
Mikono yake ilikuwa inanuka damu. Kinywa chake kilikuwa kimejaa kebehi na majivuno.
.
.
USIKOSE ANGA LA WASHENZI leo saa nne usiku!
Na joanan je [emoji134]♀️[emoji134]♀️View attachment 630325
Mikono yake ilikuwa inanuka damu. Kinywa chake kilikuwa kimejaa kebehi na majivuno.
.
.
USIKOSE ANGA LA WASHENZI leo saa nne usiku!