SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
- Thread starter
-
- #921
Nashukuru sana mkuu wangu. Bila shaka kuona si tabu, ila yahitaji pia na uwekezaji wa maana. Kazi kama hii ukiwaa bongo movie unaweza ukajikuta unaikana kwa kusema hii ndo nini tena?Kwa kweli mkuu
Najaribu kuwaza hivi hawa producers wa hizi so called bongo movies hawaoni vitu kama hv
Naamini ingekuwa mbele washakutafuta kukujaza mshiko ili watengeneze movie kama vile inferno na da vinci code za Dan Brown.
Kazi imesimama sana mkuu ,big up
Nawe pia Tumosa mama.Asante Steve ubarikiwe[emoji120] [emoji120] [emoji120]
[emoji120] [emoji120] [emoji7]Nawe pia Tumosa mama.
Story zao ni sebuleni na chumbani. Zaidi ofisini. inashootiwa siku tatu, imeisha.Mkuu umetisisha...hawa bongo movie why hawawatumii watu kama ww kuandika story?!! Agggrrr
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Husna [emoji4]
Nakushukuru mkuu. I am so humbled. [emoji120] [emoji120]Stivu nmesoma hii riwaya, km wabongo 2ngeweza kukutumia ktk uandaaj wa filam sdhan km tungetzama seriez za kikolea au kihnd huko, mazingra ya hadithi n ya kibongo hayanashda sana, wahuska hawajatembea nchi za nje inawezekana, ila wee muv zetu kila uchao usalit wa mapenz, yatma kunyanyaswa, cjui vichaa kutembea majaan.... bongo muvi wabadlike aisee. Big up broo we ni noumer.
Nakushukuru mkuu. I am so humbled. [emoji120] [emoji120]
Niko nasubirView attachment 636255
Mosi, akili yako iwe mbele ya adui kwa hatua tatu. Anachofikiri, wewe uwe tayari umeshakimaliza. Umekihitimisha na kutoa maamuzi kabla hata hujanyanyuka.
Na Pili, uwe mwepesi wa kutazama, kushika, kunyambua na kuchambua. Ukishaketi, basi hakikisha umesoma mazingira yanayokuzunguka. Unajua wanaume wapo wangapi, wanawake wapo wangapi. Wamevalia nini, wanateta mazingirani gani. Kuna milango mingapi, na hata madirisha.
Maana huwezi jua utavihitaji muda gani mbeleni.
Kumbuka, usitie kinywani kinywaji chochote ambacho hujakifungua wewe. Na pale utakapoenda msalani, ukirejea usikimeze, mwagia chini.
Lakini zaidi, usimpe mgongo adui yako. Na wala usipepesee jicho kando yake.
ANGA LA WASHENZI : - Leo saa tatu usiku.
[emoji39] [emoji39] [emoji106] [emoji106] [emoji106]View attachment 636255
Mosi, akili yako iwe mbele ya adui kwa hatua tatu. Anachofikiri, wewe uwe tayari umeshakimaliza. Umekihitimisha na kutoa maamuzi kabla hata hujanyanyuka.
Na Pili, uwe mwepesi wa kutazama, kushika, kunyambua na kuchambua. Ukishaketi, basi hakikisha umesoma mazingira yanayokuzunguka. Unajua wanaume wapo wangapi, wanawake wapo wangapi. Wamevalia nini, wanateta mazingirani gani. Kuna milango mingapi, na hata madirisha.
Maana huwezi jua utavihitaji muda gani mbeleni.
Kumbuka, usitie kinywani kinywaji chochote ambacho hujakifungua wewe. Na pale utakapoenda msalani, ukirejea usikimeze, mwagia chini.
Lakini zaidi, usimpe mgongo adui yako. Na wala usipepesee jicho kando yake.
ANGA LA WASHENZI : - Leo saa tatu usiku.
Shukrani sana kwako mkuuView attachment 636255
Mosi, akili yako iwe mbele ya adui kwa hatua tatu. Anachofikiri, wewe uwe tayari umeshakimaliza. Umekihitimisha na kutoa maamuzi kabla hata hujanyanyuka.
Na Pili, uwe mwepesi wa kutazama, kushika, kunyambua na kuchambua. Ukishaketi, basi hakikisha umesoma mazingira yanayokuzunguka. Unajua wanaume wapo wangapi, wanawake wapo wangapi. Wamevalia nini, wanateta mazingirani gani. Kuna milango mingapi, na hata madirisha.
Maana huwezi jua utavihitaji muda gani mbeleni.
Kumbuka, usitie kinywani kinywaji chochote ambacho hujakifungua wewe. Na pale utakapoenda msalani, ukirejea usikimeze, mwagia chini.
Lakini zaidi, usimpe mgongo adui yako. Na wala usipepesee jicho kando yake.
ANGA LA WASHENZI : - Leo saa tatu usiku.
shunie nicheki inbobo plsVeeep
WoyoooooooView attachment 636255
Mosi, akili yako iwe mbele ya adui kwa hatua tatu. Anachofikiri, wewe uwe tayari umeshakimaliza. Umekihitimisha na kutoa maamuzi kabla hata hujanyanyuka.
Na Pili, uwe mwepesi wa kutazama, kushika, kunyambua na kuchambua. Ukishaketi, basi hakikisha umesoma mazingira yanayokuzunguka. Unajua wanaume wapo wangapi, wanawake wapo wangapi. Wamevalia nini, wanateta mazingirani gani. Kuna milango mingapi, na hata madirisha.
Maana huwezi jua utavihitaji muda gani mbeleni.
Kumbuka, usitie kinywani kinywaji chochote ambacho hujakifungua wewe. Na pale utakapoenda msalani, ukirejea usikimeze, mwagia chini.
Lakini zaidi, usimpe mgongo adui yako. Na wala usipepesee jicho kando yake.
ANGA LA WASHENZI : - Leo saa tatu usiku.