Mmhshunie nicheki inbobo pls
[emoji3] [emoji3] [emoji3] c uende inbobo
Hahahaa aende akakutane na wasiojulikana?[emoji3] [emoji3] [emoji3] c uende inbobo
Si unajuaga vile inbobo situmii mods wameondoka nayo jaman[emoji3] [emoji3] [emoji3] c uende inbobo
Ataniteka mie naogopaHahahaa aende akakutane na wasiojulikana?
Mkuu kama itakupendeza hiyo saa tatu usiku tushushie episode tano(5) tafadhari.View attachment 636255
Mosi, akili yako iwe mbele ya adui kwa hatua tatu. Anachofikiri, wewe uwe tayari umeshakimaliza. Umekihitimisha na kutoa maamuzi kabla hata hujanyanyuka.
Na Pili, uwe mwepesi wa kutazama, kushika, kunyambua na kuchambua. Ukishaketi, basi hakikisha umesoma mazingira yanayokuzunguka. Unajua wanaume wapo wangapi, wanawake wapo wangapi. Wamevalia nini, wanateta mazingirani gani. Kuna milango mingapi, na hata madirisha.
Maana huwezi jua utavihitaji muda gani mbeleni.
Kumbuka, usitie kinywani kinywaji chochote ambacho hujakifungua wewe. Na pale utakapoenda msalani, ukirejea usikimeze, mwagia chini.
Lakini zaidi, usimpe mgongo adui yako. Na wala usipepesee jicho kando yake.
ANGA LA WASHENZI : - Leo saa tatu usiku.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahaa aende akakutane na wasiojulikana?
HahahaaaaSi unajuaga vile inbobo situmii mods wameondoka nayo jaman
Umeonaeeh? Itabidi ukitaka kwenda huko PM Niambie niwe nyuma yako kukulinda [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji378]Ataniteka mie naogopa
Bado lisaa limoja na dakika 24Bado masaa 3 na dk 15
Bado lisaa 1 na dk 8
Nipo mkuu nasubiria mzigoMkuu upo hadi huku?