Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatuzuga ili tusimshitukie lakini tayari tumeshamshitukia.[emoji3] [emoji3] [emoji3] shangaa na ww,
Ucngekuwa na muda wa kupiga kelele hapa
Sawa sawa koncho hayo ni mawazo yako ujue siwezi kuyapinga namuogopa nani humu jf mpaka nije kuzuga aisee yaan nisome story halaf nije kwenye foleni sio shunie mm huwaga sinaga nidhamu ya woga acha nilale usije niharibia siku yangu iliyoisha vizuriAnatuzuga ili tusimshitukie lakini tayari tumeshamshitukia.
Tena inawezekana ameshaisoma yote maana nikimkumbuka Shunie wa peniela alikuwa analia sana lakini huyu wala hata hana habari.
Ndio walimwengu hao mke mwee inabidi tuishi nao hivyo hivyo[emoji3] [emoji3] [emoji3] shangaa na ww,
Ucngekuwa na muda wa kupiga kelele hapa
Aisee watu mnaishi kwa assumption,Anatuzuga ili tusimshitukie lakini tayari tumeshamshitukia.
Tena inawezekana ameshaisoma yote maana nikimkumbuka Shunie wa peniela alikuwa analia sana lakini huyu wala hata hana habari.
Sijui walitaka nianze kulia lia kuhusu tivu alivyosema leo haweki story au vipi mtu ameshasema inaonaekana ana mambo yapo nje ya uwezo wake hamna mtoto mdogo humu wote watu wazima lazima tuwe waelewa mtu akisema kitu hapo tu hatumlipi yaan sipati picha watu wangekuwa wanatoa hela zao niko nalala mieAisee watu mnaishi kwa assumption,
Afanye hvo ili iweje acheni uongo bana
Shunie hana ujinga huo
UNAWEZA KUONGEA JAMBO UKAONA NI LA KAWAIDA KUMBE MTU MWINGINE KWAKE ANALICHUKULIA TOFAUTI KABISA.Sawa sawa koncho hayo ni mawazo yako ujue siwezi kuyapinga namuogopa nani humu jf mpaka nije kuzuga aisee yaan nisome story halaf nije kwenye foleni sio shunie mm huwaga sinaga nidhamu ya woga acha nilale usije niharibia siku yangu iliyoisha vizuri
He he tivu ukuje bwana
mkuu maisha ndivyo yalivyo @gwarideUNAWEZA KUONGEA JAMBO UKAONA NI LA KAWAIDA KUMBE MTU MWINGINE KWAKE ANALICHUKULIA TOFAUTI KABISA.
NIMEKOSEA NA HUWA SIPENDI KUMCHUKIZA MTU YEYOTE YULE HASA HASA MWANAMKE NISAMEHE SHUNIE.
Kumkwaza binadamu mwenzio ni dhambi kubwa sana lakini baada ya kutambua kosa lako ukiomba msamaha unakuwa umefanya jambo la maana machoni mwa watu wenye hekima.mkuu maisha ndivyo yalivyo @gwaride
Hbr ya leo shemela[emoji113] [emoji113]Kumkwaza binadamu mwenzio ni dhambi kubwa sana lakini baada ya kutambua kosa lako ukiomba msamaha unakuwa umefanya jambo la maana machoni mwa watu wenye hekima.
Siku ya leo haieleweki ni mvua tu kuanzia asubuhi mpaka muda huuHbr ya leo shemela[emoji113] [emoji113]
Pole sanaSiku ya leo haieleweki ni mvua tu kuanzia asubuhi mpaka muda huu