Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku

Anatuzuga ili tusimshitukie lakini tayari tumeshamshitukia.
Tena inawezekana ameshaisoma yote maana nikimkumbuka Shunie wa peniela alikuwa analia sana lakini huyu wala hata hana habari.
Sawa sawa koncho hayo ni mawazo yako ujue siwezi kuyapinga namuogopa nani humu jf mpaka nije kuzuga aisee yaan nisome story halaf nije kwenye foleni sio shunie mm huwaga sinaga nidhamu ya woga acha nilale usije niharibia siku yangu iliyoisha vizuri
 
Aisee watu mnaishi kwa assumption,
Afanye hvo ili iweje acheni uongo bana
Shunie hana ujinga huo
Sijui walitaka nianze kulia lia kuhusu tivu alivyosema leo haweki story au vipi mtu ameshasema inaonaekana ana mambo yapo nje ya uwezo wake hamna mtoto mdogo humu wote watu wazima lazima tuwe waelewa mtu akisema kitu hapo tu hatumlipi yaan sipati picha watu wangekuwa wanatoa hela zao niko nalala mie
 
Sawa sawa koncho hayo ni mawazo yako ujue siwezi kuyapinga namuogopa nani humu jf mpaka nije kuzuga aisee yaan nisome story halaf nije kwenye foleni sio shunie mm huwaga sinaga nidhamu ya woga acha nilale usije niharibia siku yangu iliyoisha vizuri
UNAWEZA KUONGEA JAMBO UKAONA NI LA KAWAIDA KUMBE MTU MWINGINE KWAKE ANALICHUKULIA TOFAUTI KABISA.
NIMEKOSEA NA HUWA SIPENDI KUMCHUKIZA MTU YEYOTE YULE HASA HASA MWANAMKE NISAMEHE SHUNIE.
 
UNAWEZA KUONGEA JAMBO UKAONA NI LA KAWAIDA KUMBE MTU MWINGINE KWAKE ANALICHUKULIA TOFAUTI KABISA.
NIMEKOSEA NA HUWA SIPENDI KUMCHUKIZA MTU YEYOTE YULE HASA HASA MWANAMKE NISAMEHE SHUNIE.
mkuu maisha ndivyo yalivyo @gwaride
 
☹️☹️[emoji31][emoji31][emoji31][emoji848][emoji848][emoji848][emoji850][emoji850][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom