Angalau hivi sasa wanawake wa miaka 30+ wameanza kujitambua

Angalau hivi sasa wanawake wa miaka 30+ wameanza kujitambua

We utakuwa over 30 afu hujaolewa, siyo kwa povu hilo.

Sisi paipu tutaendelea kuwapiga, na kuoa tutachagua mmoja mwenye sifa ya wife material, mwanaume kukaa muda mrefu bila kuchakata ni ngumu, tutawapiga paipu wakati huo tunasubiri kuoa.
Kama kawaida yenu tushawazoea mkiishiwa hoja huwa mnaanza matusi na ad hominem attacks na hiyo ndio ishara ya kupanic, point hapa ni kwamba endeleeni kupiga hizo pipe lakini uzuri mwisho wa siku wanawake mtakaowaoa ndio hao hao mnaowatumia wala hamtaumbiwa wengine, uhalisia si tunauona kila siku ndoa zinafungwa na hao wanaoolewa wala siyo mabikira tena wengine ni makahaba waandamizi na wengine wastaafu [emoji1787][emoji1787]

So tunawashangaa mnavyojitutumua humu mitandaoni utasema huwa mnaoa malaika kumbe mwisho wa siku mnaoa hao hao waliotumika tena, mngekuwa mnaoa wife material kama mnavyojinasibu humu basi ndoa nyingi zingekuwa stable lakini wote ukweli tunaujua hivyo wala hamtushitui, endeleeni kupiga hizo pipe ila mwisho wa siku ni hao hao ndio wako wanasubiri muwaoe no bikira [emoji23][emoji23]

Huwezi kuyachafua mazingira halafu ukategemea hayo hayo mazingira yakupe hewa safi hiyo kanuni haijawahi kuwepo, ni either ukubali kuyafanya mazingira masafi ndio upate hewa safi au uyachafue halafu mwisho wa siku ukubaliane na hewa chafu itakayokuwepo, kuna msemo wazungu wanapenda kusema "you can't have your cake and eat it too" [emoji4][emoji4]
 
Kama kawaida yenu tushawazoea mkiishiwa hoja huwa mnaanza matusi na ad hominem attacks na hiyo ndio ishara ya kupanic, point hapa ni kwamba endeleeni kupiga hizo pipe ila uzuri mwisho wa siku wanawake mtakaowaoa ndio hao hao mnaowatumia wala hamtaumbiwa wengine, uhalisia tunauona kila siku iitwapo leo ndoa zinafungwa na hao wanaoolewa wala siyo mabikira tena wengine ni makahaba waandamizi [emoji1787][emoji1787]

So tunawashangaa mnavyojitutumua humu mitandaoni utasema huwa mnaoa malaika kumbe mwisho wa siku mnaoa hao hao waliotumika tena, mngekuwa mnaoa wife material kama mnavyojinasibu humu basi ndoa nyingi zingekuwa stable lakini wote ukweli tunaujua hivyo wala hamtushitui, endeleeni kupiga hizo pipe ila mwisho wa siku ni hao hao ndio wako wanasubiri muwaoe no bikira [emoji23][emoji23]

Huwezi kuyachafua mazingira halafu ukategemea hayo hayo mazingira yakupe hewa safi hiyo kanuni haijawahi kuwepo, ni either ukubali kuyafanya mazingira masafi ndio upate hewa safi au uyachafue halafu mwisho wa siku ukubaliane na hewa chafu itakayokuwepo, kuna msemo wazungu wanasema "you can't eat your cake and have it" [emoji4][emoji4]
Napenda reasoning Yako
 
Kama kawaida yenu tushawazoea mkiishiwa hoja huwa mnaanza matusi na ad hominem attacks na hiyo ndio ishara ya kupanic, point hapa ni kwamba endeleeni kupiga hizo pipe lakini uzuri mwisho wa siku wanawake mtakaowaoa ndio hao hao mnaowatumia wala hamtaumbiwa wengine, uhalisia si tunauona kila siku ndoa zinafungwa na hao wanaoolewa wala siyo mabikira tena wengine ni makahaba waandamizi na wengine wastaafu
emoji1787.png
emoji1787.png


So tunawashangaa mnavyojitutumua humu mitandaoni utasema huwa mnaoa malaika kumbe mwisho wa siku mnaoa hao hao waliotumika tena, mngekuwa mnaoa wife material kama mnavyojinasibu humu basi ndoa nyingi zingekuwa stable lakini wote ukweli tunaujua hivyo wala hamtushitui, endeleeni kupiga hizo pipe ila mwisho wa siku ni hao hao ndio wako wanasubiri muwaoe no bikira
emoji23.png
emoji23.png


Huwezi kuyachafua mazingira halafu ukategemea hayo hayo mazingira yakupe hewa safi hiyo kanuni haijawahi kuwepo, ni either ukubali kuyafanya mazingira masafi ndio upate hewa safi au uyachafue halafu mwisho wa siku ukubaliane na hewa chafu itakayokuwepo, kuna msemo wazungu wanapenda kusema "you can't have your cake and eat it too"
emoji4.png
[emojsiyo

Kama kawaida yenu tushawazoea mkiishiwa hoja huwa mnaanza matusi na ad hominem attacks na hiyo ndio ishara ya kupanic, point hapa ni kwamba endeleeni kupiga hizo pipe lakini uzuri mwisho wa siku wanawake mtakaowaoa ndio hao hao mnaowatumia wala hamtaumbiwa wengine, uhalisia si tunauona kila siku ndoa zinafungwa na hao wanaoolewa wala siyo mabikira tena wengine ni makahaba waandamizi na wengine wastaafu [emoji1787][emoji1787]

So tunawashangaa mnavyojitutumua humu mitandaoni utasema huwa mnaoa malaika kumbe mwisho wa siku mnaoa hao hao waliotumika tena, mngekuwa mnaoa wife material kama mnavyojinasibu humu basi ndoa nyingi zingekuwa stable lakini wote ukweli tunaujua hivyo wala hamtushitui, endeleeni kupiga hizo pipe ila mwisho wa siku ni hao hao ndio wako wanasubiri muwaoe no bikira [emoji23][emoji23]

Huwezi kuyachafua mazingira halafu ukategemea hayo hayo mazingira yakupe hewa safi hiyo kanuni haijawahi kuwepo, ni either ukubali kuyafanya mazingira masafi ndio upate hewa safi au uyachafue halafu mwisho wa siku ukubaliane na hewa chafu itakayokuwepo, kuna msemo wazungu wanapenda kusema "you can't have your cake and eat it too" [emoji4][emoji4]
Siyo lazima, kuna mwamba alikuwa playboy, siku ya kuoa kaoa bikra, mwamba mwingine kajitunza, akaja kuoa libwawa.

Ishu siyo kuoa bikra maana ni adimu, ishu ni kuoa wife material, hata kama siyo bikra.
 
Siyo lazima, kuna mwamba alikuwa playboy, siku ya kuoa kaoa bikra, mwamba mwingine kajitunza, akaja kuoa libwawa.

Ishu siyo kuoa bikra maana ni adimu, ishu ni kuoa wife material, hata kama siyo bikra.
Hizo wife material ziko wapi wakati dunia nzima ndoa zenye migogoro ni nyingi kuliko zenye furaha na mnaoongoza kulalamika humu mitandaoni ni wanaume, ndio maana nasema huwa mnajisifu tu mitandaoni kwamba mnaoa wife material kumbe mambo kwa ground ni tofauti, na nashukuru umekubaliana na mimi kwamba hata hayo mabwawa yanaolewa vizuri tu ndio mjue haya maisha hayana formula maalum hivyo wala hamuwatishi hao wanawake maana nao wameshajua hali halisi
 
Hizo wife material ziko wapi wakati dunia nzima ndoa zenye migogoro ni nyingi kuliko zenye furaha na mnaoongoza kulalamika humu mitandaoni ni wanaume, ndio maana nasema huwa mnajisifu tu mitandaoni kwamba mnaoa wife material kumbe mambo kwa ground ni tofauti, na nashukuru umekubaliana na mimi kwamba hata hayo mabwawa yanaolewa vizuri tu ndio mjue haya maisha hayana formula maalum hivyo wala hamuwatishi hao wanawake maana nao wameshajua hali halisi
Mifano wa wife material ninayo, nimeiona kwa macho.
 
Mifano wa wife material ninayo, nimeiona kwa macho.
Hebu elewa point yangu chief, wife material ni wachache tofauti na wanaume mnavojinasibu humu, mimi nilitegemea wanaume wengi mngeoa wife material kama mnavosema ila kiuhalisia haiko hivo
 
Ngoja ufike 40 years hujaolewa, tuone utakuwa unamnatia nani, utaomba uolewe hata na mzoa taka taka, kalaghabaho.
Ndoa kwangu ni option..nani anataka kukaa kifungoni? Kua house girl kwa kimvuli cha ndoaa. Labda niolewe na mpemba au m.bara aliejitambua.
 
Ndoa kwangu ni option..nani anataka kukaa kifungoni? Kua house girl kwa kimvuli cha ndoaa. Labda niolewe na mpemba au m.bara aliejitambua

Ndoa kwangu ni option..nani anataka kukaa kifungoni? Kua house girl kwa kimvuli cha ndoaa. Labda niolewe na mpemba au m.bara aliejitambua.
Kwanini mpemba? Sasa bila ndoa, Genye zako unazitolea wapi, hutaki watoto?

Au ndo unataka kuzaa nje ya ndoa kila mtoto na baba yake? Yaani kuzaa ovyo ovyo kama panya?
 
Nimesoma comment zote, itoshe kusema Hali inatisha nimesikitika sana.
 
I've did❎
I've done✅
Nakushauri ukipata muda rudia topic inayoitwa "Structure" itakusaidia sana mkuu😊

Na yeye tumueke kundi la wanaume hawaeleweki 😂😂😂

Na mimi naishia hapa, sifungui next slide
 
Kama kawaida yenu tushawazoea mkiishiwa hoja huwa mnaanza matusi na ad hominem attacks na hiyo ndio ishara ya kupanic, point hapa ni kwamba endeleeni kupiga hizo pipe lakini uzuri mwisho wa siku wanawake mtakaowaoa ndio hao hao mnaowatumia wala hamtaumbiwa wengine, uhalisia si tunauona kila siku ndoa zinafungwa na hao wanaoolewa wala siyo mabikira tena wengine ni makahaba waandamizi na wengine wastaafu [emoji1787][emoji1787]

So tunawashangaa mnavyojitutumua humu mitandaoni utasema huwa mnaoa malaika kumbe mwisho wa siku mnaoa hao hao waliotumika tena, mngekuwa mnaoa wife material kama mnavyojinasibu humu basi ndoa nyingi zingekuwa stable lakini wote ukweli tunaujua hivyo wala hamtushitui, endeleeni kupiga hizo pipe ila mwisho wa siku ni hao hao ndio wako wanasubiri muwaoe no bikira [emoji23][emoji23]

Huwezi kuyachafua mazingira halafu ukategemea hayo hayo mazingira yakupe hewa safi hiyo kanuni haijawahi kuwepo, ni either ukubali kuyafanya mazingira masafi ndio upate hewa safi au uyachafue halafu mwisho wa siku ukubaliane na hewa chafu itakayokuwepo, kuna msemo wazungu wanapenda kusema "you can't have your cake and eat it too" [emoji4][emoji4]
Wapuuzi sana wanaume, wanaoa wanawake pasua kichwa afu humu wanajimwambafy tena miaka hii mbaka mtoto wa primary analiwa, sijui mtakimbilia wapi[emoji23][emoji23]na sisi tuu ndio tuko hahaa na ndoani tutaendelea kuwanyoosha na huo mfumo dume wenu mbaka muitike ABEE!!!.
 
Hizo wife material ziko wapi wakati dunia nzima ndoa zenye migogoro ni nyingi kuliko zenye furaha na mnaoongoza kulalamika humu mitandaoni ni wanaume, ndio maana nasema huwa mnajisifu tu mitandaoni kwamba mnaoa wife material kumbe mambo kwa ground ni tofauti, na nashukuru umekubaliana na mimi kwamba hata hayo mabwawa yanaolewa vizuri tu ndio mjue haya maisha hayana formula maalum hivyo wala hamuwatishi hao wanawake maana nao wameshajua hali halisi
Tena wanawake tunanata sana saivi hasa tukijijua wife material[emoji23]hatutaki kuolewa mladi tuu afu ukawe haouse girl kwenye nyumba yako mwenyewe. Mwanamke ni pambo la nyumba.
 
Tena wanawake tunanata sana saivi hasa tukijijua wife material[emoji23]hatutaki kuolewa mladi tuu afu ukawe haouse girl kwenye nyumba yako mwenyewe. Mwanamke ni pambo la nyumba.
Punguza makasiriko basi dada.
 
Back
Top Bottom