Angalau hivi sasa wanawake wa miaka 30+ wameanza kujitambua

Angalau hivi sasa wanawake wa miaka 30+ wameanza kujitambua

Mnavojitilisha huruma humu utafikiri huwa mna mpango wa kuwaoa hao wanawake mnaowatongoza kumbe washenzi wakubwa, mkikataliwa mnalalamika mkikubaliwa mkawavua nguo hao wanawake mnaanza kuwatukana kuwa ni malaya tu hawana jipya, yaani ninyi viumbe nashukuru nilizijua tabia zenu mapema wasiowajua ninyi nawaonea huruma maana wanachezewa sana
Naona Umetoa ya Moyoni😁😁 pole yalio kukuta, siyo wote wapo ni wachache tu. Kuhusu huruma hapo ni uongo mbona mpo wengi sana na wengi wenu mnajiuza Sasa nijitilishe huruma gani na wakat Hadi wa Buku jero wapo nakula ukigom naenda kwa mwingine 😁😁
 
Salaam wote!

1993/1994 nyie kina dada, mama mliozaliwa hapo shaka bila hivi sasa mna 30 years old......

Huku mtaani naona nilipo kama wanaanza kusalimia salimia hivi yaani zile dharau dharau za 2018 zimesha isha isha hivi.

Naamini na nyie mnapewa namba bila hata kuomba....😁😁

Sema sasa kuna wawili watatu pengine bado wanavuta shuka na hawajui pashakucha, nyie badilikeni haraka sana

Usiombe dada sijui mama umri ndiyo huo 30+ alafu maisha yakupige alafu upoteze mwelekeo, mvuto upotee, kama una mtoto mdogo au anaanza shule akulilie njaa plus shule daaadeki ukicheki hupati mwanaume wa kueleweka (kama nyie wadada mnavosemaga, kaka ukisikia msemo wao mwanaume mwenyewe haeleweki, wewe kaka ujue huna pesa)

Sisi tunao pitia mahusiano ya msoto hapa na pale tunajua hizi misheni zao, nyie kaka mambo safi hamuwezi jua hili, nyie mkisikia anasema haeleweki mnaeza jua ni hapigi dudu au ni chapombe si tushajua dada anamaanisha mwanaume hana chenchede 😆😆😆

Most girls of 30+ maisha yakiwapiga huwa wanatafuta mwenye anacho au kama ana mtoto yani single mother anatafuta child support.

(kwa wadada mambo safi hii haiwahusu mi nimeongelea wale wanao pitia msoto pale wanapo fika 30+ na mambo ni bila bila)......

Hao ambao ni Excluded yaani mambo safi hufa na tai shingoni, they are die with upwiru maana hawaoni Mr. Right, kazi kununua sex toys. bora na hawa maana ana uhakika wa kula na kuvaa na kulala pazuri na mengine kama usafiri ist cha kuzugia ni uhakika, peruvian hair na unywele unaa...😁😆😆 sasa hawa wenzangu na mie kina mwaju na kina nani wa kijiji gani sijui namanyere dunia yao huwa shubiri aiseee.

you guys let me informs you market ya hizi sex toys za wadada is growing big, ask for sales details utaniambia....

Tuwaombee waolewe.
Muda unamajibu mengi sana
 
Ahsante kwa taarifa na mambo yao waachie wenyewe...
 
Wambie wasinishobokee mi Sina nguvu za kiume mkuu make wananizonga sana🤣🤣🤣🤣🤣
 
Naona Umetoa ya Moyoni[emoji16][emoji16] pole yalio kukuta, siyo wote wapo ni wachache tu. Kuhusu huruma hapo ni uongo mbona mpo wengi sana na wengi wenu mnajiuza Sasa nijitilishe huruma gani na wakat Hadi wa Buku jero wapo nakula ukigom naenda kwa mwingine [emoji16][emoji16]
Personal attacks kama kawaida yenu
 
Salaam wote!

1993/1994 nyie kina dada, mama mliozaliwa hapo shaka bila hivi sasa mna 30 years old......

Huku mtaani naona nilipo kama wanaanza kusalimia salimia hivi yaani zile dharau dharau za 2018 zimesha isha isha hivi.

Naamini na nyie mnapewa namba bila hata kuomba....[emoji16][emoji16]

Sema sasa kuna wawili watatu pengine bado wanavuta shuka na hawajui pashakucha, nyie badilikeni haraka sana

Usiombe dada sijui mama umri ndiyo huo 30+ alafu maisha yakupige alafu upoteze mwelekeo, mvuto upotee, kama una mtoto mdogo au anaanza shule akulilie njaa plus shule daaadeki ukicheki hupati mwanaume wa kueleweka (kama nyie wadada mnavosemaga, kaka ukisikia msemo wao mwanaume mwenyewe haeleweki, wewe kaka ujue huna pesa)

Sisi tunao pitia mahusiano ya msoto hapa na pale tunajua hizi misheni zao, nyie kaka mambo safi hamuwezi jua hili, nyie mkisikia anasema haeleweki mnaeza jua ni hapigi dudu au ni chapombe si tushajua dada anamaanisha mwanaume hana chenchede [emoji38][emoji38][emoji38]

Most girls of 30+ maisha yakiwapiga huwa wanatafuta mwenye anacho au kama ana mtoto yani single mother anatafuta child support.

(kwa wadada mambo safi hii haiwahusu mi nimeongelea wale wanao pitia msoto pale wanapo fika 30+ na mambo ni bila bila)......

Hao ambao ni Excluded yaani mambo safi hufa na tai shingoni, they are die with upwiru maana hawaoni Mr. Right, kazi kununua sex toys. bora na hawa maana ana uhakika wa kula na kuvaa na kulala pazuri na mengine kama usafiri ist cha kuzugia ni uhakika, peruvian hair na unywele unaa...[emoji16][emoji38][emoji38] sasa hawa wenzangu na mie kina mwaju na kina nani wa kijiji gani sijui namanyere dunia yao huwa shubiri aiseee.

you guys let me informs you market ya hizi sex toys za wadada is growing big, ask for sales details utaniambia....

Tuwaombee waolewe.
[emoji23][emoji23][emoji23] Namanyere kubwa wa sehemu gani? au Ntatumbila
 
Mkuu kuna mdada alikukataa ndio maana kila siku unampiga spana? msamehe bwana and move on, ilikuwa sio lazima akukubali wewe. Yeye kutafuta mtu wa maana hadi jua linazama hajampata ni majaliwa tu kama ambavyo mimi na wewe tunazisaka sana pesa na hatujazipata bado, sio kosa "kukosa".


Uko very bitter na si nzuri kwa afya yako.
😅🤣🤣🤣🤣😂😂😂 nimecheka sana.
 
Mnajisikiaje hiyo bidhaa kuwa na heshima pale inapokosa soko tu na siyo hata inapokuwa na soko, ukiona bidhaa inakuja kwako ikiwa imeshakosa soko ujue wewe mnunuaji huna hela na hiyo bidhaa ndio hadhi yako ukiwa na hela utainunua ikiwa mpya kipindi bado ina soko, yani badala mpambane hizo bidhaa mzipate zikiwa na soko mnashangilia eti zikishakosa soko lazima zitakuja tu kwenu kana kwamba ni sifa
😅😅😅Law of demand bidhaa ikishakosa soko haihitajiki sokoni
 
Miaka 30 ndo tunda limekomaa na kuiva vizuri!! Chini ya hapo bado vinanuka maziwa ya mama mdomoni!! Ukikigusa kidogo kinaruka, lakini 30+ ukigusa kidogo anajisogeza zaidi hadi raha!! Ndio maana siku hizi vijana wanapenda matunda yaliyokomaa!! Umri ni namba tu!!
 
Ukisha-comment usirudie tena tafadhali ili comments za wanawake wengine wa 30+ ziweze kuonekana na mimi.
 
Nina 29 mwakani 30 na sina pressure, na bado nanata ukipishana namm utajiuliza huyu ninani kwani[emoji23]Sipo kinyonge eti nisalimie ovyo kutafuta wanaumee. Looh!!!
Ngoja ufike 40 years hujaolewa, tuone utakuwa unamnatia nani, utaomba uolewe hata na mzoa taka taka, kalaghabaho.
 
Mnavojitilisha huruma humu utafikiri huwa mna mpango wa kuwaoa hao wanawake mnaowatongoza kumbe washenzi wakubwa, mkikataliwa mnalalamika mkikubaliwa mkawavua nguo hao wanawake mnaanza kuwatukana kuwa ni malaya tu hawana jipya, yaani ninyi viumbe nashukuru nilizijua tabia zenu mapema wasiowajua ninyi nawaonea huruma maana wanachezewa sana
We utakuwa over 30 afu hujaolewa, siyo kwa povu hilo.

Sisi paipu tutaendelea kuwapiga, na kuoa tutachagua mmoja mwenye sifa ya wife material, mwanaume kukaa muda mrefu bila kuchakata ni ngumu, tutawapiga paipu wakati huo tunasubiri kuoa.
 
Halafu hawa wanawake aliyewadanganya kuolewa ndo kilele cha mafanikio, halafu wanapenda harusi kuliko ndoa, tafuteni hela, acheni stress za kutokuolewa.
 
Back
Top Bottom