figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Huyu demu ni kilaza sana ila Lissu amemuweka kwenye size yake,yaani mwanzo mwisho yuko very hostile kwa Lissu. Aibu hii kwa Clouds Media,eti labda kama yeye Lissu ana swali. !!@!Nimeangalia Mahojiano ya Tundu Lissu na kipindi cha Clouds 360,
Niseme tu! Mtangazaji Kija Yunus ni Muandishi wa Habari wa hovyo Kwelikweli, Kwa Akili Zake Ndogo Hizi Sijui Aliwezaje Kupata Kazi Clouds Media Tena Akaaminiwa Na Kupewa Kipindi Cha Asubuhi.
View attachment 3203643View attachment 3203644
View attachment 3203645
View attachment 3203646
Gentleman,Nimeangalia Mahojiano ya Tundu Lissu na kipindi cha Clouds 360,
Niseme tu! Mtangazaji Kija Yunus ni Muandishi wa Habari wa hovyo Kwelikweli, Kwa Akili Zake Ndogo Hizi Sijui Aliwezaje Kupata Kazi Clouds Media Tena Akaaminiwa Na Kupewa Kipindi Cha Asubuhi.
View attachment 3203643View attachment 3203644
View attachment 3203645
View attachment 3203646
Aibu yako unamshabikia kilaza mwenzako kwenye ujinga wake.Dada yuko makini sana, Viva Yunus
Umakini wake ni upi?Dada yuko makini sana, Viva Yunus
Nimeangalia Mahojiano ya Tundu Lissu na kipindi cha Clouds 360,
Niseme tu! Mtangazaji Kija Yunus ni Muandishi wa Habari wa hovyo Kwelikweli, Kwa Akili Zake Ndogo Hizi Sijui Aliwezaje Kupata Kazi Clouds Media Tena Akaaminiwa Na Kupewa Kipindi Cha Asubuhi.
View attachment 3203643View attachment 3203644
View attachment 3203645
View attachment 3203646
Achana na huyo chizi, huyo kicheche kachemsha hadi wenzake PJ na Sasali wanaona aibu.Umakini wake ni upi?
Hivi Clouds wakiangalia hiki kipindi hawaoni aibu kuwakilishwa na kichwa maji kama huyo!? Anyways clouds ni walewaleNimeangalia Mahojiano ya Tundu Lissu na kipindi cha Clouds 360,
Niseme tu! Mtangazaji Kija Yunus ni Muandishi wa Habari wa hovyo Kwelikweli, Kwa Akili Zake Ndogo Hizi Sijui Aliwezaje Kupata Kazi Clouds Media Tena Akaaminiwa Na Kupewa Kipindi Cha Asubuhi.
View attachment 3203643View attachment 3203644
View attachment 3203645
View attachment 3203646
EATV alikuwa mtangazaji wa muziki wa bolingo sasa hii ya siasa ni kumtupa baharini wakati hajui kuogelea.Nimeangalia Mahojiano ya Tundu Lissu na kipindi cha Clouds 360,
Niseme tu! Mtangazaji Kija Yunus ni Muandishi wa Habari wa hovyo Kwelikweli, Kwa Akili Zake Ndogo Hizi Sijui Aliwezaje Kupata Kazi Clouds Media Tena Akaaminiwa Na Kupewa Kipindi Cha Asubuhi.
View attachment 3203643View attachment 3203644
View attachment 3203645
View attachment 3203646
Tunafanyia uchunguzi Taarifa yakoChadema inabidi wawe makini na hizi Media. Majuzi tu walikuwa wanawakimbia na walikuwa hawaandiki habari zao. Leo wanawakimbilia kila siku.
Nasikia ha Crown Media ya Kikeke kumbe ni mali ya Mkwe Mwenye Kifua Kipana ..
Sasa hapo unganisha dots.