Pre GE2025 Angalia CCM jinsi wamemtuma Kijakazi Yunus Kumhoji Tundu Lissu kwa Kivuli cha Clouds Media

Pre GE2025 Angalia CCM jinsi wamemtuma Kijakazi Yunus Kumhoji Tundu Lissu kwa Kivuli cha Clouds Media

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mleta mada heshimu haki za binadamu

Kwa hiyo watangazaji na waandisji wa habari hawatakiwi kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa?

Kwa hiyo Lisu alitaka ahojiwe na watangazaji ambao.ni wanachama wa Chadema tu?

Team Lisu mko duni sana vichwani
Wewe ndiye huna akili kabisa yule demu alikuwa very unprofessional usitetee upumbavu.
 
Wewe ndiye huna akili kabisa yule demu alikuwa very unprofessional usitetee upumbavu.
Lisu ndie proffessional? Anayesema Ohhh Mbowe asigombee kakaa muda nrefu madarakani

Wakati katiba ya Chadema inamruhusu Mbowe kugombea sababu katiba ya Chadema haina huo ukomo

Hapo waweza sema Lisu ni proffesinal na hilo genge la timu yake?
 
Hili jambo nimeliona na nimesema hivyo, alipewa kazi ambayo kachemka vibaya.

Lissu ni wa kwenda naye kwa utulivu wa hali ya juu, otherwise ndio kuaibika kama huyu.
Lissu anamkubuka Stephen katika mahojiano ya Hard Talk BBC alipasuka.
 
Lisu ndie proffessional? Anayesema Ohhh Mbowe asigombee kakaa muda nrefu madarakani

Wakati katiba ya Chadema inamruhusu Mbowe kugombea sababu katiba ya Chadema haina huo ukomo

Hapo waweza sema Lisu ni proffaesinal na hilo genge la timu yake?
Wewe unadandia gari kwa mbele,hangaikeni na lichama lenu chakavu ya Chadema tuachieni wenyewe. Lissu ndiye mwenyekiti ajaye wa Chadema.
 
Hahahahah Ila LISSU, Et Nyie mnauliza maswali ,Mimi majibu🤣🤣🤣

Kmmke walahiii huyo demu Nahisi alivyotoka hapo break ya kwanza ni choon Kunya akihisi mav yamembana, na alipofika choon akashangaa mavi hayatoki.


Yaan nikm vile unavyosubiria majib ya HIV.
Nomecheka kwa sauti wallahi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom