Pre GE2025 Angalia CCM jinsi wamemtuma Kijakazi Yunus Kumhoji Tundu Lissu kwa Kivuli cha Clouds Media

Pre GE2025 Angalia CCM jinsi wamemtuma Kijakazi Yunus Kumhoji Tundu Lissu kwa Kivuli cha Clouds Media

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema inabidi wawe makini na hizi Media. Majuzi tu walikuwa wanawakimbia na walikuwa hawaandiki habari zao. Leo wanawakimbilia kila siku.

Nasikia ha Crown Media ya Kikeke kumbe ni mali ya Mkwe Mwenye Kifua Kipana ..
Sasa hapo unganisha dots.
Una point sana Mkuu, hata hivyo sisi Raia tunanufaika wanapohoijiwa Viongozi Makini kama Lissu.

We take advantage of their weakness.

Siku za hivi karibuni tu walikuwa wanawakimbia. Leo wanawasaka.

Hii ina maana mbili.
1. Kumuuliza maswali au topic wanazodhani zitamshushia mlengwa hadhi
2. Wameshtuka Lissu na wenzake kama hawa ni Hot Cake kutangaza media zao.
 
Huyu demu ni kilaza sana ila Lissu amemuweka kwenye size yake,yaani mwanzo mwisho yuko very hostile kwa Lissu. Aibu hii kwa Clouds Media,eti labda kama yeye Lissu ana swali. !!@!

Lissu akamwambia mimi nipo hapa kujibu maswali mtakayouliza.
Mimi si msikilizaji/mtazamaji wa Clouds Radio/TV, ila mara moja moja kwa bahati mbaya nikiwa Bar, Restaurant au public places, ila kwa leo nimethibitisha pasi shaka kuwa waandishi wao ni vilaza wa kutupwa, angalau huyo anajiita PJ ana afadhali.
 
Gentleman,
Mwanahabari Chief Odemba wa StarTv, kwakua ni chadema hafai kutumia taaluma yake kumuhoji katibu mkuu wa CCM right?🐒
Anafaa and he can 💯%...

Lakini weka ujinga wa ki - CCM pembeni na ikibidi ufungie kwenye kabati lako nyumbani kisha njoo tuhojiane ukiwa fresh & professional...

Ukija umejaza ujinga wako wa ki - CCM ili eti kuumwaga kwa mtu kama Tundu Lissu, then get prepared to be embarrassed mbele TV cameras kama dada yenu Kijakazi Yunus, alivyoaibika leo...!

Bahati njema sana kwani Tundu Lissu alikuwa calm na mvumilivu kwake...
 
Anafaa and he can 💯%...

Lakini weka ujinga wa ki - CCM pembeni na ikibidi ufungie kwenye kabati lako nyumbani kisha njoo tuhojiane ukiwa fresh & professional...

Ukija umejaza ujinga wako wa ki - CCM ili eti kuumwaga kwa mtu kama Tundu Lissu, then get prepared to be embarrassed mbele TV cameras kama dada yenu Kijakazi Yunus, alivyoaibika leo...!

Bahati njema sana kwani Tundu Lissu alikuwa calm na mvumilivu kwake...
🤣 mihemko ni mateso na utumwa wa kindezi sana,

yaani kibaraka kaulizwa kitu cha kawaida tu sasa sijui mayowe yanatoka wapi,

dada wawatu kamueleza ukweli yeye hua hafatilii mambo yote ya kibaraka, kwani ubaya ni nini?
hata hivyo mbona mahojiano yenyewe yalikua ya kawaida na mepesi sana gentleman?🐒
 
Back
Top Bottom