Angalia daraja Mbuchi na Mbwera Kibiti la Bilioni 7.2 lililojengwa na Rais wetu Mpendwa Samia Suluhu. Tujipongeze

Kule kwetu kama unaenda utadhani upo katika hadithi za vitabuni zama.za utumwa. Sijui nini kifanyike kutoa hii jamii katika usingizi mzito. Kule sijui kupo vipi wana mali nyingi sana ardhi nzuri na misikiti imejaa utadhani ndio Waarabu wenyewe.
Wasukuma na makabila mengine yamehamia kwa kasi bonde la mto rufiji.

Na wanatajirika sana kupitia shuguhuli za kilimo na ufuguja na biashara mbalimbali kuzidi hata wenyeji.

Wenyeji wamejaa vibarazani na kwenye vijiwe vya kahawa na bharagashia zao...umasikini unaanzia kichwani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kuna wakati unawaza hii jamii haya hauwezi kuielewa. Wajuaji mno tena wanajidai kujua kila jambo halafu hauwezi kuwaambia kitu na CCM na kuwaabudu Waarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…