chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Kama unahadaika kirahisi, nakushauri ufiche ID yako, unadhalilikaNimehadaiwa kivipi?
Kwamba hapo hayupo na marafiki zake, au hachezi huo muziki na kwamba hayupo kijijini kwao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unahadaika kirahisi, nakushauri ufiche ID yako, unadhalilikaNimehadaiwa kivipi?
Kwamba hapo hayupo na marafiki zake, au hachezi huo muziki na kwamba hayupo kijijini kwao?
Waafrika wengi hung'ang'ania madaraka kwa hofu ya kurudia kuishi maisha yao ya kawaida ya zamani.
Lakini aliyekuwa Rais wa zamani wa Liberia, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2023 dhidi ya mpinzani wake Joseph Boakai, mambo yamekuwa tofauti.
Weah ambaye kabla ya kuwa Rais wa nchi yake alikuwa ni mchezaji Mpira maarufu duniani, amerudi kijijini kwao na anaishi maisha yake ya kawaida na marafiki zake wa zama za utotoni.
AMEJIKUBALI.
View attachment 3196574
Hapo hadaa ni ipi? Au niliposema maisha ya zamani umefikria namaanisha maisha ya kimaskini?Kama unahadaika kirahisi, nakushauri ufiche ID yako, unadhalilika
Samia aache kuiba kura na kung'ang'ania katiba iliyopitwa na wakati.Samia aione hii.Aache ushamba wake wa madaraka
Watu wenye Akili kubwa, Watu wenye hekima huwa wako vile !Waafrika wengi hung'ang'ania madaraka kwa hofu ya kurudia kuishi maisha yao ya kawaida ya zamani.
Lakini aliyekuwa Rais wa zamani wa Liberia, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2023 dhidi ya mpinzani wake Joseph Boakai, mambo yamekuwa tofauti.
Weah ambaye kabla ya kuwa Rais wa nchi yake alikuwa ni mchezaji Mpira maarufu duniani, amerudi kijijini kwao na anaishi maisha yake ya kawaida na marafiki zake wa zama za utotoni.
AMEJIKUBALI.
View attachment 3196574
Huyo ni mtu anayejitambua.Waafrika wengi hung'ang'ania madaraka kwa hofu ya kurudia kuishi maisha yao ya kawaida ya zamani.
Lakini aliyekuwa Rais wa zamani wa Liberia, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2023 dhidi ya mpinzani wake Joseph Boakai, mambo yamekuwa tofauti.
Weah ambaye kabla ya kuwa Rais wa nchi yake alikuwa ni mchezaji Mpira maarufu duniani, amerudi kijijini kwao na anaishi maisha yake ya kawaida na marafiki zake wa zama za utotoni.
AMEJIKUBALI.
View attachment 3196574
Umeandika andiko Bora kabisa.Watu wenye Akili kubwa, Watu wenye hekima huwa wako vile !
Kwanza kabisa maisha yao yapo stress free !
Na wanajua na kuamini kwamba wao hawana tofauti na watu wengine wote !
Wawe ni masikini au matajiri kwao wapo sawa tu. !
Na huyo jamaa hata kabla ya URais pesa kwake ilikuwa ipo ya kutosha tu !
Sasa waupate wale wenye nongwa na maisha ya anasa 😱😳🙄!
Asalaaleee hakuna rangi hamtaiona 🤣🤣🤣 !
Hawezi kustaafu mpaka iwe kama Mugabe,bado ana amini washindani wake ni mapandikizi ya ccmWakati huo huo mbowe nae hataki kustaafu.
Kabisa ! Jamaa ana furaha ya kweli kweli kabisa sio ile ya kuitafuta kwa gharama na nguvu kubwa !Ana bahati kugundua furaha ya kweli
Amebeba radio call(simu ya upepo).Amekudanganya nani ? Muangalie huyo jamaa mwenye kiglasi chekundu amebeba nini kiunoni
?
Sawa kabisaAmebeba radio call(simu ya upepo).
Ile si radio call au ni nini?Amekudanganya nani ? Muangalie huyo jamaa mwenye kiglasi chekundu amebeba nini kiunoni
?
Hawezi kukosa Ulinzi kwa sababu ni sheria inataka hivyo !Amebeba radio call(simu ya upepo).
Jakaya anaishi kikawaida?Ulitaka asilindwe?
Kurudi kwake kwao hakuondoi stahili zake kama Rais Mstaafu .
Wewe unawajua wanasiasa wangapi wa Tanzania (Jakaya anajitahidi) ambao wameweza kurudi kuishi kikawaida kama zamani?
Wewe ni makorokocho!Kama unahadaika kirahisi, nakushauri ufiche ID yako, unadhalilika
Kwako wewe kwa muktadha wa bandiko hili kikawaida ni nini?Jakaya anaishi kikawaida?
Unaishi pori gani?
Zingatia kwanza ushauri wangu kabla sijaenda Baraza la Mitihani kufuatilia matokeo yakoHapo hadaa ni ipi? Au niliposema maisha ya zamani umefikria namaanisha maisha ya kimaskini?
Naona unayumbulika na kubilingita na IDWewe ni makorokocho!