Angalia George Weah baada ya kutoka kwenye kiti cha Urais jinsi anavyoishi maisha ya kawaida

Angalia George Weah baada ya kutoka kwenye kiti cha Urais jinsi anavyoishi maisha ya kawaida

Waafrika wengi hung'ang'ania madaraka kwa hofu ya kurudia kuishi maisha yao ya kawaida ya zamani.

Lakini aliyekuwa Rais wa zamani wa Liberia, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2023 dhidi ya mpinzani wake Joseph Boakai, mambo yamekuwa tofauti.

Weah ambaye kabla ya kuwa Rais wa nchi yake alikuwa ni mchezaji Mpira maarufu duniani, amerudi kijijini kwao na anaishi maisha yake ya kawaida na marafiki zake wa zama za utotoni.

AMEJIKUBALI.

View attachment 3196574

Ana bahati kugundua furaha ya kweli
 
Waafrika wengi hung'ang'ania madaraka kwa hofu ya kurudia kuishi maisha yao ya kawaida ya zamani.

Lakini aliyekuwa Rais wa zamani wa Liberia, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2023 dhidi ya mpinzani wake Joseph Boakai, mambo yamekuwa tofauti.

Weah ambaye kabla ya kuwa Rais wa nchi yake alikuwa ni mchezaji Mpira maarufu duniani, amerudi kijijini kwao na anaishi maisha yake ya kawaida na marafiki zake wa zama za utotoni.

AMEJIKUBALI.

View attachment 3196574
Watu wenye Akili kubwa, Watu wenye hekima huwa wako vile !
Kwanza kabisa maisha yao yapo stress free !
Na wanajua na kuamini kwamba wao hawana tofauti na watu wengine wote !
Wawe ni masikini au matajiri kwao wapo sawa tu. !

Na huyo jamaa hata kabla ya URais pesa kwake ilikuwa ipo ya kutosha tu !

Sasa waupate wale wenye nongwa na maisha ya anasa 😱😳🙄!

Asalaaleee hakuna rangi hamtaiona 🤣🤣🤣 !
 
Hao ni w
Waafrika wengi hung'ang'ania madaraka kwa hofu ya kurudia kuishi maisha yao ya kawaida ya zamani.

Lakini aliyekuwa Rais wa zamani wa Liberia, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2023 dhidi ya mpinzani wake Joseph Boakai, mambo yamekuwa tofauti.

Weah ambaye kabla ya kuwa Rais wa nchi yake alikuwa ni mchezaji Mpira maarufu duniani, amerudi kijijini kwao na anaishi maisha yake ya kawaida na marafiki zake wa zama za utotoni.

AMEJIKUBALI.

View attachment 3196574
Huyo ni mtu anayejitambua.
 
Watu wenye Akili kubwa, Watu wenye hekima huwa wako vile !
Kwanza kabisa maisha yao yapo stress free !
Na wanajua na kuamini kwamba wao hawana tofauti na watu wengine wote !
Wawe ni masikini au matajiri kwao wapo sawa tu. !

Na huyo jamaa hata kabla ya URais pesa kwake ilikuwa ipo ya kutosha tu !

Sasa waupate wale wenye nongwa na maisha ya anasa 😱😳🙄!

Asalaaleee hakuna rangi hamtaiona 🤣🤣🤣 !
Umeandika andiko Bora kabisa.
 
Huwa mnadanganyika sana na vitu vya juu juu aisee.

Geogre ana shida huyo kichwani
 
Ulitaka asilindwe?

Kurudi kwake kwao hakuondoi stahili zake kama Rais Mstaafu .

Wewe unawajua wanasiasa wangapi wa Tanzania (Jakaya anajitahidi) ambao wameweza kurudi kuishi kikawaida kama zamani?
Jakaya anaishi kikawaida?
Unaishi pori gani?
 
Back
Top Bottom