PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Hayo ndiyo maisha yake ya kila siku? Au hapo alikuwa kwenye tukio?Waafrika wengi hung'ang'ania madaraka kwa hofu ya kurudia kuishi maisha yao ya kawaida ya zamani.
Lakini aliyekuwa Rais wa zamani wa Liberia, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2023 dhidi ya mpinzani wake Joseph Boakai, mambo yamekuwa tofauti.
Weah ambaye kabla ya kuwa Rais wa nchi yake alikuwa ni mchezaji Mpira maarufu duniani, amerudi kijijini kwao na anaishi maisha yake ya kawaida na marafiki zake wa zama za utotoni.
AMEJIKUBALI.
View attachment 3196574