Angalia George Weah baada ya kutoka kwenye kiti cha Urais jinsi anavyoishi maisha ya kawaida

Angalia George Weah baada ya kutoka kwenye kiti cha Urais jinsi anavyoishi maisha ya kawaida

Waafrika wengi hung'ang'ania madaraka kwa hofu ya kurudia kuishi maisha yao ya kawaida ya zamani.

Lakini aliyekuwa Rais wa zamani wa Liberia, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2023 dhidi ya mpinzani wake Joseph Boakai, mambo yamekuwa tofauti.

Weah ambaye kabla ya kuwa Rais wa nchi yake alikuwa ni mchezaji Mpira maarufu duniani, amerudi kijijini kwao na anaishi maisha yake ya kawaida na marafiki zake wa zama za utotoni.

AMEJIKUBALI.

View attachment 3196574
Hayo ndiyo maisha yake ya kila siku? Au hapo alikuwa kwenye tukio?
 
Nirejeshee bundle langu...
🚮🚮🚮
 
yule jamaa wa pili Toka mwishoni sijamwelewa

mzee ,kikwete tafadhari mwige jamaa

Kazi ya kununua mahindi kwenye mashamba mseke huko kwenda kulisha ng'ombe ...unaua watu mwakani
 
Waafrika wengi hung'ang'ania madaraka kwa hofu ya kurudia kuishi maisha yao ya kawaida ya zamani.

Lakini aliyekuwa Rais wa zamani wa Liberia, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2023 dhidi ya mpinzani wake Joseph Boakai, mambo yamekuwa tofauti.

Weah ambaye kabla ya kuwa Rais wa nchi yake alikuwa ni mchezaji Mpira maarufu duniani, amerudi kijijini kwao na anaishi maisha yake ya kawaida na marafiki zake wa zama za utotoni.

AMEJIKUBALI.

View attachment 3196574
Ameshainama hivyo wakati alikuwa anapiga tick-tack za hatari?!
 
Kuna wakati ukishaachieve kila kitu duniani unakuwa huna namna zaidi ya kuishi kama raia WA kawaida tu.

George weah, Balon d'Or winner, amecheza mpira Ulaya kwa mafanikio makubwa, amekuwa Rais wa Liberia, anaheshima Ulaya na Africa..hakuna kigeni kwenye maisha yake.

Kila maisha kwake ni ya kawaida sana.
 
Huyo kama ni starehe na Raha ashakula sana, ni sawa na matajiri wakubwa na wa miaka mingi huko USA, ulaya, Japan nk wao wanajitolea pesa tu siku hizi, mfano tajiri kama buffet yeye Hana mambo mengi kabisa.
 
Hiyo ni aina za watu,we unafikiri watu kama mwl Nyerere alivyo kuwa unafikiri viongoz wote wastaaf wanaweza lifestyle ile!?
 
Back
Top Bottom