Hayo ndiyo maisha yake ya kila siku? Au hapo alikuwa kwenye tukio?Waafrika wengi hung'ang'ania madaraka kwa hofu ya kurudia kuishi maisha yao ya kawaida ya zamani.
Lakini aliyekuwa Rais wa zamani wa Liberia, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2023 dhidi ya mpinzani wake Joseph Boakai, mambo yamekuwa tofauti.
Weah ambaye kabla ya kuwa Rais wa nchi yake alikuwa ni mchezaji Mpira maarufu duniani, amerudi kijijini kwao na anaishi maisha yake ya kawaida na marafiki zake wa zama za utotoni.
AMEJIKUBALI.
View attachment 3196574
Mnalinganishaje urais na umwenyekiti wa chama?Wakati huo huo mbowe nae hataki kustaafu.
Sasa angepewa nchi sijui ingekuwaje?Wakati huo huo mbowe nae hataki kustaafu.
Georgeee Weaaaah, Wakaawakaaaaa (Kwa sauti ya Le Grand Mopao Koffi Olomide)Opong' Weah G..
Tukio ni sehemu ya maisha... Wengine hata hayo matukio hawashiriki labda iwe kimaigizo ili waongeze kura.Hayo ndiyo maisha yake ya kila siku? Au hapo alikuwa kwenye tukio?
Waambie CCM ambao wamekufanya kuangalia clipi ya MB 6 upige mayowe.Nirejeshee bundle langu...
🚮🚮🚮
Ameshainama hivyo wakati alikuwa anapiga tick-tack za hatari?!Waafrika wengi hung'ang'ania madaraka kwa hofu ya kurudia kuishi maisha yao ya kawaida ya zamani.
Lakini aliyekuwa Rais wa zamani wa Liberia, ambaye alishindwa kwenye uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo mwaka 2023 dhidi ya mpinzani wake Joseph Boakai, mambo yamekuwa tofauti.
Weah ambaye kabla ya kuwa Rais wa nchi yake alikuwa ni mchezaji Mpira maarufu duniani, amerudi kijijini kwao na anaishi maisha yake ya kawaida na marafiki zake wa zama za utotoni.
AMEJIKUBALI.
View attachment 3196574
Asante bibie salama Ngare kwa kunikumbusha hilo🙏Weah mwanafunzi bora kabisa wa Prof. Wenger, sitosahau siku aliyomualika Wenger Liberia na kumpa tuzo ya heshima, hadi kesho ana heshima yangu.
Kikwete ni mfano wa kuigwa japo ana mambo yake mengineUlitaka asilindwe?
Kurudi kwake kwao hakuondoi stahili zake kama Rais Mstaafu .
Wewe unawajua wanasiasa wangapi wa Tanzania (Jakaya anajitahidi) ambao wameweza kurudi kuishi kikawaida kama zamani?
I'd zote leo nje.Mnalinganishaje urais na umwenyekiti wa chama?
Hata mimi nilijua tu kuwa comment yako itakuwepo.Hii comment nilijua tu zitakuepo za kumhusu mbowe