Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Dah winga tena? Ndoa ilikua zamani siku hz tunaishi ishi na kuishiaUkiwa ndoa kuna mahala unaaminika kirahisi tofauti na ukiwa winga 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah winga tena? Ndoa ilikua zamani siku hz tunaishi ishi na kuishiaUkiwa ndoa kuna mahala unaaminika kirahisi tofauti na ukiwa winga 😂😂
Mwezi wa 11 nitaomba nikupe kadi mkuu.. ndoa ni tamu.. japo ina sarakasi zakeusidanganyike
ndoa ni ujambazi
#ponda mali kufa kwaja
Unachosema kweli. Ndoa ukikosea unaweza vuruga hatma nzima ya maish yako. Nashukuru neema ya Mungu ipo.. maana mama mkwe alitaka kunitilia sumu kabisa nikufeMwakasege alifundisha namna Maamuzi ya kuamua kuoa yanavyoweza kuvuruga maisha yako milele
sawa sawa big bosshuu ni upumbavu umepost mavi matupu
unachosema kweli, mkuu zamani ndoa ilikuwa na uzito sio kama sasa, mtu anaweza amka asubuhi anakuambia hakutaki... eeh mzee winga terezaa😂😂Dah winga tena? Ndoa ilikua zamani siku hz tunaishi ishi na kuishia
😂😂😂😂unachosema kweli, mkuu zamani ndoa ilikuwa na uzito sio kama sasa, mtu anaweza amka asubuhi anakuambia hakutaki... eeh mzee winga terezaa😂😂
chukua hizo 4P ukiziona kwenye familia zina fanya kazi (jiandae kisaikolojia ). zikiwa active vizuri sanaUnatengeneza negativity bias,
Unaona vibaya tu kwasababu umeikaririsha kuona vibaya
Kwao wanatambika, ila ana nidhamu ya pesa, wewe unamkwepa...
Kwao wote ni maskini, ila anaonesha upambanaji, wewe unamkwepa...
Halafu kuna matatizo mengine yanarekebishika, ama yanapuuzika
Kwa style hii hata binti wa bakhresa utachomoa
Tuambie kwanza unachopata?😀😂😂😂😂
Hivi mlioko kwenye ndoa mnapata nini ambacho sipati?
We nambie unachohisi nakosaTuambie kwanza unachopata?😀
Dah, somo zuri hili umenigusa Mimi kabisa Kwa Mwanamke niliyemuoa...Picha linaanza muda mfupi kabla sijamchumbia pale kijijini kwao baba yake mdogou kauliwa Kwa ujambazi palepale kwao Binti, nikapeleleza vizuri nikagundua hata baba yake alikuwa jambazi zamani. Nikagundua pia baba yake mdogo mwingine wa dar alikuwa jambazi pia,, Nikajipa moyo kwamba Mimi naoa Binti yeye kama yeye..Baada ya kuoa Sasa , yule Binti alinionesha tabia chafu sana na nikagundua machafu zaidi ya hayo kwenye huo ukoo, kifupi ni ukoo uliolaaniwa .. be careful kabla ya kuoa
Naunga mkono hoja zote ila kuna watu hili linawatesa sana kutokana na hadhi ya familia wanazotoka inawalazimu kuoa tu. Kwangu naona ni kosa kubwa mno hasa kwa wale wanaotoka familia zilizoshiba kiimani/kikanisa. Unaoa kwa sababu ya kuiepushia familia aibu.4. Usio mtu ulie mtia kwa bahati mbaya, au alijilengesha, usema unamuoa kuua soo ( ni swala la mda tu )..
Pole sana mkuu, vipi hamjajaaliwa watoto? Kama mnao hawajarithi baadhi ya tabia kutoka huko?Dah, somo zuri hili umenigusa Mimi kabisa Kwa Mwanamke niliyemuoa...Picha linaanza muda mfupi kabla sijamchumbia pale kijijini kwao baba yake mdogo kauliwa Kwa ujambazi palepale kwao Binti, nikapeleleza vizuri nikagundua hata baba yake alikuwa jambazi zamani. Nikagundua pia baba yake mdogo mwingine wa dar alikuwa jambazi pia,, Nikajipa moyo kwamba Mimi naoa Binti yeye kama yeye..Baada ya kuoa Sasa , yule Binti alinionesha tabia chafu sana na nikagundua machafu zaidi ya hayo kwenye huo ukoo, kifupi ni ukoo uliolaaniwa .. be careful kabla ya kuoa
Aa wapiUkiwa ndoa kuna mahala unaaminika kirahisi tofauti na ukiwa winga 😂😂
NakaziaMkipendana tu weka ndani kuleni ubwabwa mzae mengine mwachieni Mungu
Lamomy ni jirani yangu ni mwenyekiti wetu wa jumuiya ya Mama Jusi. Kaolewa na ana ndoa yake safi ila huku jf ni kataa ndoa.Sema wa kike ukiwa kataaa ndoa kama hainogi hivi au ni akili Zangu za Mirungi😁
Huyo alivo na madollar itakua kaolewa na Babu wa kizungu😁Lamomy ni jirani yangu ni mwenyekiti wetu wa jumuiya ya Mama Jusi. Kaolewa na ana ndoa yake safi ila huku jf ni kataa ndoa.