Uko sahihi.Bado mchoro wa kuchorwa kwa mkono utaendelea kua na hadhi yake,ndio maana unaona hata michoro ya zamani hua inauzwa kwa mamilioni ya Dollar kwenye minada ya kidunia,
Miaka ya mbele,hii michoro iliyochorwa kwa mkono itakua na thamani zaidi na itauzwa kwa bei ya juu sana.
Naona kuna YouTuber anaitumia kuelezea historia kwa short video, anatumia AI pics, anapata viewers sio mchezo.ina hisabati balaa.... niliisoma mwaka wa 2😂
kwa juu juu tu, ila ni field ngumu na unatakiwa ujue programming
😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 kama ina hesabu basi...ina hisabati balaa.... niliisoma mwaka wa 2😂
kwa juu juu tu, ila ni field ngumu na unatakiwa ujue programming
Ya bure niliyosikia inaongelewa sana ni stable diffusion.... midjourney ndo the best sema unalipiaNaona kuna YouTuber anaitumia kuelezea historia kwa short video, anatumia AI pics, anapata viewers sio mchezo.
Natamani kufahamu AI zipi zinatengeneza pics hizi.
Naweza kukosoa kidogo kwenye hii picha iliyotokana na AI ambapo picha imetoa vitu tofauti. 1. A hen close to her feet (kuku yupo mbali na miguu). 2. A hen (hapo pichani naona ni jogoo).Mfano hii picha nilitumia prompt hii hapa ili kuipata.
"A black woman in a farmer has wearing kanga and blouse written mkulima bora and behind on the there's some vegetables like spinach and tomatoes are crops grain and close to her feet there's hen"
View attachment 2807009
Hesabu sio ngumu wewe.😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 kama ina hesabu basi...
Sio lazima kusoma haa
Kama nikugenerate picha kama huyo YouTuber ingia tu play store app kibao za Bure imagine, gencraft...Naona kuna YouTuber anaitumia kuelezea historia kwa short video, anatumia AI pics, anapata viewers sio mchezo.
Natamani kufahamu AI zipi zinatengeneza pics hizi.
Gencraft, au kuna nyingine pia?Kama nikugenerate picha kama uyo YouTuber ingia tu play store app kibao za Bure imagine, gencraft...
Imagine, Canva zipo kibao tu freeGencraft, au kuna nyingine pia?
Asante mkuu.
Inaunganishwa na 3D printing inatoa kinyago safiVery sad. Ila akili bandia haichongi vinyago
Wapi naweza kwenda kwa ajili ya kutengeneza book covers?Mfano hii picha nilitumia prompt hii hapa ili kuipata.
"A black woman in a farmer has wearing kanga and blouse written mkulima bora and behind on the there's some vegetables like spinach and tomatoes are crops grain and close to her feet there's hen"
View attachment 2807009
AI inaenda kufanya binadamu kuwa mazezeta, mazombie, misukule ya duniani kama ulikuwa haujui, wasiweze kufikiria vumbuzi nyingi zaidi na kuendelea kubweteka especially Africa, kuna dogo nilimkuta anatengeneza wimbo kwenye simu yaani studio ni simu AI inagonga beat anaingiza sauti ina-match sauti na beat akikosea anafuta.Safi Sana. Teknolojia inaleta balaa mjin
Inaunganishwa na 3D printing inatoa kinyago safi
Itachonga. Pitia you tube vizuri ione ROBOT za AI zinavyofanya maujanja..Very sad. Ila akili bandia haichongi vinyago
AI ina evolve. Itafika muda zitakuwa na full capability. Zitakuwepo kila nyanja unayoijua wewe. Wenzetu wapo maabara hawataki utani.Lakini kitakua sio Mbao, material gani inatumia hiyo3D printer?
Unaijua 3D Printing mkuu...?Very sad. Ila akili bandia haichongi vinyago
AI ina evolve. Itafika muda zitakuwa ha full capability. Zirakuwepo kila nyanja unayoijua wewe.
Wenzetu wapo maabara hawataki utani.
Sisi tunajadili ripoti ya CAG .
Tanzania kuba nsijinga mengi. Bubge mpaka sasa hslijajadili AI inavyoweza futa mafisadi kwa kuwa kina msikuma and co hawajui chochote juu ya AI.
[emoji16]Ai itampumzisha wengi,ila mm nasubiri tu siku mbadala wa matrakoo makubwa utakapo patikana maana mtaani kinadada walio beba wanajiona Keki kinoma,ipo siku mtayaona ni mzigo tu,hebu fikiria na mvua hii Plus kuotewa na Yanga juzi manzi ananiambia angenipa iwapo ningekuwa mwanaume pekee niliyebaki Duniani,sorry mkuu kukuchafulia Uzi ila inauma sana