Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
πππππππππππππMkuu kuna watu wanashindwa hao ambao hawajishughulishi...
Kwa mfano we unaona unaweza ukatengeneza kitu walau kwenye Computer ila kuna mtu computer kazi yake yeye ni kucheza game,Kuangalia mobi na suffing ...
Huyu mtu ntamuitaje ??
Ndo hapo sasa kunakuja ile dhana ya sio wote lazima wajue...
Unazani wote tukawa same kuna kupeleka mkono kinywani daktari πππ