Mkasela
Senior Member
- Dec 22, 2018
- 156
- 224
unaifahamu croud computing, unaifahamu quantum computer.
Mpaka sasa wewe huna uwezo kama Bard au Chat gpt.
Yaani huo uwezo huna! huna! huna!
Labda uwezo wa kusikia njaa.
Labda hisia za ngono.
Ulimwengu tunaoenda ni mwingine kabisa msije mkasema hamkupewa tahadhari .
ISA wapo kuunda sera kudhibiti AI.
Hilo dude lisipodhibitiwa ni NOMA.
AI ni maakili ya geneus wengi unaowajua wewe wote.
Je wewe ujatajua mambo ya mageneus wote duniani?
Hilo dude si halisi.ni .Wewe kuwa halisi haimaanishi unauwezo mkubwa.
Wewe hapo ni halisi ila huna uwezo wa kubeba mizingo kama trekta ambayo sio halisi.
Duuh umeongea kitu kizito sana mkuu.