DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Uelewa ninao ila nilikuwa sio mtu wa kudeal na Media prompt zaid nilikuwa nikitumia Chat AIMkuu zipo nyingi sana kwa sasa, kadiri unavyokuwa na uelewa ndivyo unaweza kuhama kutoka Bing kwenda Midjourney au LensGo.
Jomba hii ngeli pia ni ya AI au ni kiingereza chako binafsi??Mfano:
Kwa kutumia prompt hii: A black woman in a farmer has wearing kanga and blouse written mkulima bora and behind on the there's some vegetables like spinach and tomatoes are crops grain and close to her feet there's hen.
Programming ni ngumu sana kwa mtu ambaye tayari kashaonja papuchi za kina Aisha na Mwanahamisi... taifa linatakiwa lianze kuwafundisha watoto kuchapa codes. Wakifika miaka 20 wanakuwa programmers wa hatari.ina hisabati balaa.... niliisoma mwaka wa 2😂
kwa juu juu tu, ila ni field ngumu na unatakiwa ujue programming
Ukasome akili bandia ili iweje ? Utapasuka msamba, huna upeo huo!Bora ni focus kusoma vizuri hii Al
Maana hata kama inarahisisha mambo bado kuna watu hawajui matumizi yake ni wachache sana ndo wanaelewa haya mambo ...
Unajua wabongo hatutaki kujua tusiyoyajua.Duuh umeongea kitu kizito sana mkuu.
kiswahili ni 'akili mnemba'Nikiwa mmoja wa wafuatiliaji wa karibu sana wa hii teknolojia ya akili bandia inayofahamika kama AI.
Nimejionea kwa karibu sana jinsi mambo yanavyokuwa ya moto sana.
Kwa kuanzia kidogo tu, nimeonana na mchiraji katuni aliyeamua kusoma kwa nguvu, ananunua bundle then darasa linaanza, ananiambia ''brother muda umeenda'' no time to waste kwa sasa.
Leo tena mkongwe na mwalimu wangu naye anajiandaa kustaafu kuchora katuni, maji yanazidi unga.
Yeye anasema dunia inafanya mapinduzi makubwa sana kupitia teknolojia, muda wa kukaa meza kubwa yenye muinuko mbele umefifia kaka, now ni simu ili mradi iwe na bando.
Isitoshe kwa hapo, baadhi ya taasisi binafsi zimeanza kuunda AI images maalumu kwa matangazo ambapo akionekana tu utajua huyu ni kutoka kampuni flani as katumi nk.
Lile wazo lako badala ya kuchukua penseli na karatasi unaanza kupoteza muda halipo ten, bali ni kuliweka wazo lako katika mfumo wanauita prompt kisha unairuhusu ikufanyie kile unataka ni ndani ya sekunde 5 unapata matokeo zaidi ya 4 na kuchagua the best one.
Wachoraji wanaanza kukosa ile tunasema ground table of content, pencils zinakosa soko na soko linaamia kwa AI Pen.
Mfano:
Kwa kutumia prompt hii: A black woman in a farmer has wearing kanga and blouse written mkulima bora and behind on the there's some vegetables like spinach and tomatoes are crops grain and close to her feet there's hen.
Nikapata matokeo haya hapa:
Na hii hapa chini...
Yuko sahihi.Ukasome akili bandia ili iweje ? Utapasuka msamba, huna upeo huo!
Nenda kwanza kasomee ujuzi wa kuifanya mifumo ya TRA na Bandari isomane.
Tena hatuhitaji cutting edge wireless cloud servers and all the rest of it. Funga mawaya!
Simplest job description ever.
Ili kusudi tusibakwe na Waarabu, Wachina na Waturuki, funga server itakayo host mifumo ya TRA na TPA, na isomane!
Akili bandia my foot!
Hebu thibitisha.Dr ulianza vizuri tuu.
Ila hapo kwa machine zinatushinda
Nakushusha vyeo 😂😂😂🙌🙌🙌
Hahaha! Hata mimi nikasema hapa hapana aise!Mkuu hapo kwa ubongo nishushe kaka! Hii safari siwezi kuendelea
Inachonga kwa kushirikiana na 3D printersVery sad. Ila akili bandia haichongi vinyago
Huu ni utapeli binadamu gani hana nyusi na haieleweki anatabasamu ama anataka kuliaHii ni picha iliyochorwa kwa mkono zaidi ya karne kadhaa, artificial intelligence bado itakuwa na kibarua cha ziada kuweza kufuta karama ya uchoraji.View attachment 2807021
Ndio Karama ya sanaa ndugu yangu, bado pia haijulikani kama ilikua ni picha ya mwanamke ama mwanaume.Huu ni utapeli binadamu gani hana nyusi na haieleweki anatabasamu ama anataka kulia
Nachukia sana watu wanavyoiita "akili bandia" which means "fake intelligence"kiswahili ni 'akili mnemba'
Ni balaaNikiwa mmoja wa wafuatiliaji wa karibu sana wa hii teknolojia ya akili bandia inayofahamika kama AI.
Nimejionea kwa karibu sana jinsi mambo yanavyokuwa ya moto sana.
Kwa kuanzia kidogo tu, nimeonana na mchoraji katuni aliyeamua kusoma kwa nguvu, ananunua bundle then darasa linaanza, ananiambia ''brother muda umeenda'' no time to waste kwa sasa.
Leo tena mkongwe na mwalimu wangu naye anajiandaa kustaafu kuchora katuni, maji yanazidi unga.
Yeye anasema dunia inafanya mapinduzi makubwa sana kupitia teknolojia, muda wa kukaa meza kubwa yenye muinuko mbele umefifia kaka, now ni simu ili mradi iwe na bando.
Isitoshe kwa hapo, baadhi ya taasisi binafsi zimeanza kuunda AI images maalumu kwa matangazo ambapo akionekana tu utajua huyu ni kutoka kampuni flani as katumi nk.
Lile wazo lako badala ya kuchukua penseli na karatasi unaanza kupoteza muda halipo ten, bali ni kuliweka wazo lako katika mfumo wanauita prompt kisha unairuhusu ikufanyie kile unataka ni ndani ya sekunde 5 unapata matokeo zaidi ya 4 na kuchagua the best one.
Wachoraji wanaanza kukosa ile tunasema ground table of content, pencils zinakosa soko na soko linaamia kwa AI Pen.
Mfano:
Kwa kutumia prompt hii: A black woman in a farmer has wearing kanga and blouse written mkulima bora and behind there's some vegetables like spinach and tomatoes are crops grain and close to her feet there's hen.
Nikapata matokeo haya hapa:
Na hii hapa chini...