Angalia Jinsi Akili Bandia (AI) Inavyoanza kupumzisha Wachoraji wa katuni na Wengineo

Vizuri! Kama unaijua Falsafa vizuri nenda kachakate utamjua nani aliyesemaga hivyo. Na hata ukitafakari ni kweli... mwanadamu ana uwezo wa kufanya makubwa zaidi na ukabaki unashangaa.

Kama unaijua falsafa ungekuwa umeshaijua hiyo kauli ilitolewa na nani 😊😊😊
 
Hata mimi hapo umeniacha mkuu fanya utuelekeze...πŸ€πŸ€πŸ€πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Jina lako linashabihiana na uwezo wako wako wa kifikra... sishangai, Vijana wa Kitanzania ni wajuaji sana kumbe hakuna kitu.

Nashangaa mnabisha kinachojulikana. Si Uzwazwa huo πŸ˜€

Bakini hivyohivyo na ujuaji wenu
 
Bora ni focus kusoma vizuri hii Al
Maana hata kama inarahisisha mambo bado kuna watu hawajui matumizi yake, ni wachache sana ndo wanaelewa haya mambo ...
Kaka imekaba na jinsi ya kutumia kuna ai zinazorahisisha kabisa
 
Jina lako linashabihiana na uwezo wako wako wa kifikra... sishangai, Vijana wa Kitanzania ni wajuaji sana kumbe hakuna kitu.

Nashangaa mnabisha kinachojulikana. Si Uzwazwa huo πŸ˜€

Bakini hivyohivyo na ujuaji wenu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kwa jinsi ulivyonijibu tu hapo..
Mi na wewe nani ana uzwazwa

Umri wako pia unashabihiana na uwezo wako wa kuelewa swali na kujibu hivyo sishangai,

Miaka 61-70 ni umri wa upatanisho wa imani na jamii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
One day technology will surpass human intelligence.

"Albert Einstein$...
 
Nimeweka prompt yako ya mfano ikaja hivi
 
Kwani wewe umejitengrneza.
Wewe umefundishwa mambo yote kama AI inavyofundushwa. Mpaka hapo unakwepa kwepa kuthibitisha unachoizidi AI.
We sema tu inaizidi AI kwenye nini?
Kanizidi mkuu kweli...
Sina hoja hapo kwa kweli....πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Nimewaza hapa nionaaa ooooh ooooh hii Al ipo kila sehemu. Sasa naungana na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…