Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana. Niliposoma nikagundua kuwa hiki ni KIINGEREZA CHA JUHUDI BINAFSI. Kina ladha ya MEMKWA kwa mbali.Cha kwangu binafsi asee 😄!
Vizuri! Kama unaijua Falsafa vizuri nenda kachakate utamjua nani aliyesemaga hivyo. Na hata ukitafakari ni kweli... mwanadamu ana uwezo wa kufanya makubwa zaidi na ukabaki unashangaa.Am not a PhD holder, Am a scientist acha nikusikitishe kwa sababu as A medical Personel Sicho ninachokijua kuhusu ubongo mkuu...
Kwahyo siwezi kulazmisha nitumie Falsafa kwenye swala lililowekwa kisayansi mkuu...
But i think najua philosophy well and ni nahisi nimeisoma na najua baadhi kuihusu sijajua sasa mantiki yako ni ipi?
Jina lako linashabihiana na uwezo wako wako wa kifikra... sishangai, Vijana wa Kitanzania ni wajuaji sana kumbe hakuna kitu.Hata mimi hapo umeniacha mkuu fanya utuelekeze...🤝🤝🤝🙌🙌🙌🙌
Innovation itaendelea kama kawaida ila itasadiwa na teknolojia.Huu ni utapeli binadamu gani hana nyusi na haieleweki anatabasamu ama anataka kulia
Inachonga kwa 3d technology nzuri mbaya kabisaVery sad. Ila akili bandia haichongi vinyago
Kaka imekaba na jinsi ya kutumia kuna ai zinazorahisisha kabisaBora ni focus kusoma vizuri hii Al
Maana hata kama inarahisisha mambo bado kuna watu hawajui matumizi yake, ni wachache sana ndo wanaelewa haya mambo ...
Naishinda ndio...Hebu thibitisha.
Unaizidi nini mashine zaidi ya hisia ?
Bado sijakupata mkuuKaka imekaba na jinsi ya kutumia kuna ai zinazorahisisha kabisa
😂😂😂😂😂😂😂😂 kwa jinsi ulivyonijibu tu hapo..Jina lako linashabihiana na uwezo wako wako wa kifikra... sishangai, Vijana wa Kitanzania ni wajuaji sana kumbe hakuna kitu.
Nashangaa mnabisha kinachojulikana. Si Uzwazwa huo 😀
Bakini hivyohivyo na ujuaji wenu
Unaishinda nini.Naishinda ndio...
We unataka nithibitishe vipi mkuu.?
Kwa kuwa hiyo Al imejitengeneza sio...?Unaishinda nini.
Nataka nikusaili wewe na AI hapa hapa.
Nimeweka prompt yako ya mfano ikaja hiviNikiwa mmoja wa wafuatiliaji wa karibu sana wa hii teknolojia ya akili bandia inayofahamika kama AI.
Nimejionea kwa karibu sana jinsi mambo yanavyokuwa ya moto sana.
Kwa kuanzia kidogo tu, nimeonana na mchoraji katuni aliyeamua kusoma kwa nguvu, ananunua bundle then darasa linaanza, ananiambia ''brother muda umeenda'' no time to waste kwa sasa.
Leo tena mkongwe na mwalimu wangu naye anajiandaa kustaafu kuchora katuni, maji yanazidi unga.
Yeye anasema dunia inafanya mapinduzi makubwa sana kupitia teknolojia, muda wa kukaa meza kubwa yenye muinuko mbele umefifia kaka, now ni simu ili mradi iwe na bando.
Isitoshe kwa hapo, baadhi ya taasisi binafsi zimeanza kuunda AI images maalumu kwa matangazo ambapo akionekana tu utajua huyu ni kutoka kampuni flani as katumi nk.
Lile wazo lako badala ya kuchukua penseli na karatasi unaanza kupoteza muda halipo tena, bali ni kuliweka wazo lako katika mfumo wanauita prompt kisha unairuhusu ikufanyie kile unataka ni ndani ya sekunde 5 unapata matokeo zaidi ya 4 na kuchagua the best one.
Wachoraji wanaanza kukosa ile tunasema ground table of content, pencils zinakosa soko na soko linaamia kwa AI Pen.
Mfano:
Kwa kutumia prompt hii: A black woman in a farmer has wearing kanga and blouse written mkulima bora and behind there's some vegetables like spinach and tomatoes are crops grain and close to her feet there's hen.
Nikapata matokeo haya hapa:
Na hii hapa chini...
platform gan umepitia hapaNimeweka prompt yako ya mfano ikaja hivi View attachment 2807875
Good 👏🏾👏🏾👏🏾.Nimeweka prompt yako ya mfano ikaja hivi View attachment 2807875
Kwani wewe umejitengrneza.Kwa kuwa hiyo Al imejitengeneza sio...?
Microsoft bing image creatorplatform gan umepitia hapa
Kanizidi mkuu kweli...Kwani wewe umejitengrneza.
Wewe umefundishwa mambo yote kama AI inavyofundushwa. Mpaka hapo unakwepa kwepa kuthibitisha unachoizidi AI.
We sema tu inaizidi AI kwenye nini?