Picha linaanza kwa ndege kunusa hatari! Mpe Mungu maua yake!
View attachment 3121082
Angalia urefu wa hilo wimbi! Mpe Mungu maua yake!
View attachment 3121079
Kisha mwamba Milton akatua! Mpe Mungu maua yake!
View attachment 3121085
Nb: Watu wanakimbia kuokoa roho zao na siyo fedha! Mpe Mungu maua yake!
Huyo inabidi apigwe nyundo za kichwa.Nchi inahitaji elimu hii, utazan wew hapo hujawah kuufanya huo ufusika......
Hayo n majanga ya asili yalikuwepo na yatakuwepo hata kama ni kweli mengine huzidishwa na sababu za kibinadamu.
Tatizo ni wabishi sana...Hawa inabidi waeleweshwe kizazi cha namna hii ni mzigo mkubwa kwa taifa.
Biblia kuita wapumbavu bado haijathibitisha uwepo wa huyo Mungu , hata kitabu cha Abunuasi kuna mabwana wengi waliitwa wapumbavukama unaamini Mungu hayupo, wewe ni MPUMBAVU. Zaburi 53:1, Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wametenda uovu wa ufisadi na kuchukiza, Hakuna atendaye mema.
. ndivyo Biblia inavyokuita. Biblia inatamka wazi kuwa ninyi mnaosema hakuna Mungu ni wapumbavu kabisa.
wewe unafahamika ni jini ndugu, sio mwanadamu kama sisi wengine. hakuna cha kushangaza hapa. shindwa kwa Jina la Yesu.Biblia kuita wapumbavu bado haijathibitisha uwepo wa huyo Mungu , hata kitabu cha Abunuasi kuna mabwana wengi waliitwa wapumbavu
Israel inawaua watu ma laki kila siku , ila kimbuka kinaua watu 200 tu zinakuja sababu za kipumbavu kabisa mara hasira ya bwana na blabla za kijinga.Tatizo ni wabishi sana...
Hii video ya mwisho ni tornado na wala siyo kimbunga hichoPicha linaanza kwa ndege kunusa hatari! Mpe Mungu maua yake!
View attachment 3121082
Angalia urefu wa hilo wimbi! Mpe Mungu maua yake!
View attachment 3121079
Kisha mwamba Milton akatua! Mpe Mungu maua yake!
View attachment 3121085
i
Nb: Watu wanakimbia kuokoa roho zao na siyo fedha! Mpe Mungu maua yake!
Thibitisha jini.wewe unafahamika ni jini ndugu, sio mwanadamu kama sisi wengine. hakuna cha kushangaza hapa. shindwa kwa Jina la Yesu.
Ndivyo mnavyodanganywa huko na akina mwamposaWaache ushoga,majanga ya asili nayo yawaache
Hawa nephilim/demon incarnates/fallen angels/majini wanaojifanya ni binadamu wapo wengi, hata mitandaoni humu wapo, kama huyu Diana kalala wa fb nina mashaka sio binadamu wa kawaida, wenye d mbili kwenye mambo ya kiroho lazma wahisi kuna uwezekano asilimia 80 huyu ni jini Yesu Anakujawewe unafahamika ni jini ndugu, sio mwanadamu kama sisi wengine. hakuna cha kushangaza hapa. shindwa kwa Jina la Yesu.
Wengine unakuta wana degree master na hata PhD kabisa.Ndivyo mnavyodanganywa huko na akina mwamposa
Duh 🤣Hawa nephilim/demon incarnates/fallen angels/majini wanaojifanya ni binadamu wapo wengi, hata mitandaoni humu wapo, kama huyu Diana kalala wa fb nina mashaka sio binadamu wa kawaida, wenye d mbili kwenye mambo ya kiroho lazma wahisi kuna uwezekano asilimia 80 huyu ni jini Yesu Anakuja
View attachment 3121135View attachment 3121136
[emoji23][emoji23]Duh [emoji1787]
Kije basi na huku kitusalimie kidogo yaan vimbunga vina upendeleo sana vinapiga huko tu huku vikija vinapiga lashalasha Mungu kwanini sisi unatutenga na vimbunga?Hellene kilipiga mile 500 nikasema ingekua Tz inamaana kinapiga hadi Shinyanga mbele uko
Saivi wanaitafuta elfu 50, saivi ngoma inacheza kwenye 42, bado kama maiti elfu 8 hivi, kila.siku wanaua mtu kama 50 hivi, sasa 50 hadi disemba wanaweza kusherekea mwaka mpya na elfu 50 net..Israel inawaua watu ma laki kila siku , ila kimbuka kinaua watu 200 tu zinakuja sababu za kipumbavu kabisa mara hasira ya bwana na blabla za kijinga.
Tutarudi miaka 30 nyuma kimaendeleo.Kije basi na huku kitusalimie kidogo yaan vimbunga vina upendeleo sana vinapiga huko tu huku vikija vinapiga lashalasha Mungu kwanini sisi unatutenga na vimbunga?
Yaan wamekufa 200 tu?Saivi wanaitafuta elfu 50, saivi ngoma inacheza kwenye 42, bado kama maiti elfu 8 hivi, kila.siku wanaua mtu kama 50 hivi, sasa 50 hadi disemba wanaweza kusherekea mwaka mpya na elfu 50 net..
Hamna inabidi na sisi tufurahie uumbaji wa Mungu kipigwe kimbunga tufe hata 1000 fasta hao 200 waliopigwa kimbunga wameenjoy sanaTutarudi miaka 30 nyuma kimaendeleo.
Heee [emoji23][emoji23]wewe unafahamika ni jini ndugu, sio mwanadamu kama sisi wengine. hakuna cha kushangaza hapa. shindwa kwa Jina la Yesu.