Angalia mkataba wa Sweden na UAE ulivyotoa haki na wajibu kwa pande zote mbili. Ulinganishe na wa kwetu

 
Wamebaki tu kusema eti DP kampuni kubwa wako duniani kote. Kama kubwa ndio watupige sisi?
 
Wasomi wetu, hua wanaenda kuisoma mikataba na kushauri baada ya ku sign...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…