Angalia mkataba wa Sweden na UAE ulivyotoa haki na wajibu kwa pande zote mbili. Ulinganishe na wa kwetu

Angalia mkataba wa Sweden na UAE ulivyotoa haki na wajibu kwa pande zote mbili. Ulinganishe na wa kwetu

Wananchi wamesema sana kwamba IGA yetu ni ya upande mmoja. Ushauri wa wazee wa CCM ka.a akina Butiku na Waryoba hawataki kuusikia wala kufuata. Sasa wanaenda kufuta sheria ya ulinzi wa rasilimali zetu badala ya sheria hiyo kuiweka kwenye katiba ya nchi kama tulivyofanya kwenye ile sheria ya kuhamishia Dodoma makao makuu ya nchi.

Madhara yake yatakuwa makubwa kwa CCM, mwaka 2025 haitakuwa rahisi kwao kushinda uchaguzi mkuu. Huu ndiyo ukweli, ccm imeamua kujimaliza (committee suicide) yenyewe. Wahenga walisema ngoma ikilia sana hupasuka yenyewe. Hatupendi hili litokee.
Kwani ccm inategemea sanduku la Kura? Polisi siwapo?
 
Watawala wetu ni mbumbumbu wa kiwango cha kutoweza hata kutazamia.

Rushwa hupofusha akili na moyo. Upofu wa akili ni mbaya kuliko hata upofu wa macho.

Umeona hata majaji kule Mbeya walivyopofuka kiasi cha kuweza kufanya arguments zao kwa kiwango cha afadhali hata mtu mwenye certificate ya sheria.

Rushwa iwe ya pesa au hata cheo, uwezo wake wa kupofusha akili ya mla rushwa ni ule ule.
 
Ukiusoma, kila upande umelinda maslahi yake. Arbitration, wanaanza wao wanaohusika, then wakishindwa wanamtafuta msuluhishi kwa kila upande kuleta mtu wao wakisimamiwa na third party ambaye watamchagua wao wawili. Ikishindikana hapo wanakwenda ICSDI...unaona kabisa hakuna aliye dictate terms kwa mwenzake!


Wanasheria wetu walikwama wapi, kwanini hawakupata ushauri toka kwa watu ambao walishaingia mikataba kama hii ya kimataifa!

Read! Erythrocyte
Wananchi mmeamua
 
Halafu mahakama kuu Mbeya na akina Assad wanakuambia uko sawa kabisa[emoji35][emoji35][emoji35]

Sent using Jamii Forums mobile app
Rushwa inapenya kila mahali, hakuna ilipopaacha salama. Akina Ndunguru unafikiri waliahirisha hukumu kwa akili yao? Rushwa ndiyo iliyokuwa inachezesha akili zao.
 
Uafrika hasa utanzania ni laana.

aliianzisha nyerere kutaifisha nyumba za watu na kuifanya NHC hapo mungu alichukizwa na dhuluma hiyo mungu akatupiga laana ya milele tutakuwa hivihivi tunateseka tunadhulumiana tunaoneana alianzisha yupo kaburini akiadhibiwa vikali
 
Watawala wetu ni mbumbumbu wa kiwango cha kutoweza hata kutazamia.

Rushwa hupofusha akili na moyo. Upofu wa akili ni mbaya kuliko hata upofu wa macho.

Umeona hata majaji kule Mbeya walivyopofuka kiasi cha kuweza kufanya arguments zao kwa kiwango cha afadhali hata mtu mwenye certificate ya sheria.

Rushwa iwe ya pesa au hata cheo, uwezo wake wa kupofusha akili ya mla rushwa ni ule ule.
0e60dbb3db294b64eea64afdb8032e5e.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usifananishe binadamu class A na sokwe muwaza ngono,mla rushwa,mpenda starehe,mvivu wa kufikiria ,asiyewaza kesho yake,yeye kilichopo mbele yake Ni kama mnyama,
 
Madhara yake yatakuwa makubwa kwa CCM, mwaka 2025 haitakuwa rahisi kwao kushinda uchaguzi mkuu. Huu ndiyo ukweli, ccm imeamua kujimaliza (committee suicide) yenyewe
Kwenye ushindi wa ccm kura huwa hazihusiki
 
Mnacomment bila hata kuusoma msichotaka ni migogoro kwenda kusuluhishwa na third part na hapo mbona mkataba huu ulioleta tena wa mwaka 90 na wamesema wazi migogoro itaenda kushughlikiwa kwenye mahakama ya kimataifa nje ya sweden au emirati na wahusika kwenye hio mahakama ikiwemo wanatoka katika nchi hizi zinazoingia mkataba hawataruhusiwa kusuluhisha kwenye arbitration atateuliwa mwingine. Mbona imefanana tu na huu. Japo umesema muda ni miaka 20 hata huu wetu hicho kinarekebishika kiufupi lugha ni ile ile na huu wetu.
Wewe hujui kiingereza vema. Soma between lines: Arbitration inaanzia kwenye partner states. Wanakaa wanajadiliana kwa kuchagua watu wao mmoja kila upande. Wakishindwana, Then wanatafuta mwenyekiti third party ambaye watamkubali wote. Wakishindwana hapo, wanakwenda ICSDI, ambayo hatukatai, bali tunakataa kwenda London!
Na kama sheria zetu zinakataza kwenda kusuluhisha mambo ya rasilimali zetu mahakama za nje, hawakupashwa kuingia mkataba huo. Hivyo huo likataba lao ni BATILI AS LONG AS IT DOES NOT TALLY WITH OUR INTERNAL LAWS, MAHAKAMA ILIPASHWA UIKATAE.

Sijui kama unanielewa
 
Ukiusoma, kila upande umelinda maslahi yake. Arbitration, wanaanza wao wanaohusika, then wakishindwa wanamtafuta msuluhishi kwa kila upande kuleta mtu wao wakisimamiwa na third party ambaye watamchagua wao wawili. Ikishindikana hapo wanakwenda ICSDI...unaona kabisa hakuna aliye dictate terms kwa mwenzake!


Wanasheria wetu walikwama wapi, kwanini hawakupata ushauri toka kwa watu ambao walishaingia mikataba kama hii ya kimataifa!

Read! Erythrocyte
Wala posho za hashtag ya DP world watakwambia huko ni Sweden na huku ni Tanzania tuna taratibu zetu kweny mikataba!!
 
Mnacomment bila hata kuusoma msichotaka ni migogoro kwenda kusuluhishwa na third part na hapo mbona mkataba huu ulioleta tena wa mwaka 90 na wamesema wazi migogoro itaenda kushughlikiwa kwenye mahakama ya kimataifa nje ya sweden au emirati na wahusika kwenye hio mahakama ikiwemo wanatoka katika nchi hizi zinazoingia mkataba hawataruhusiwa kusuluhisha kwenye arbitration atateuliwa mwingine. Mbona imefanana tu na huu. Japo umesema muda ni miaka 20 hata huu wetu hicho kinarekebishika kiufupi lugha ni ile ile na huu wetu.
Umeisoma lakini IGA yetu? Na si hao wataalam wetu ndio walituambia kuwa mikataba baina ya nchi haina muda wa uhai wake?

Amandla...
 
Ukiusoma, kila upande umelinda maslahi yake. Arbitration, wanaanza wao wanaohusika, then wakishindwa wanamtafuta msuluhishi kwa kila upande kuleta mtu wao wakisimamiwa na third party ambaye watamchagua wao wawili. Ikishindikana hapo wanakwenda ICSDI...unaona kabisa hakuna aliye dictate terms kwa mwenzake!


Wanasheria wetu walikwama wapi, kwanini hawakupata ushauri toka kwa watu ambao walishaingia mikataba kama hii ya kimataifa!

Read! Erythrocyte
Hivi unadhani waliosign ni ignorant kiasi hicho?
...wahuni ni watu hatari sana!
 
Ukiusoma, kila upande umelinda maslahi yake. Arbitration, wanaanza wao wanaohusika, then wakishindwa wanamtafuta msuluhishi kwa kila upande kuleta mtu wao wakisimamiwa na third party ambaye watamchagua wao wawili. Ikishindikana hapo wanakwenda ICSDI...unaona kabisa hakuna aliye dictate terms kwa mwenzake!


Wanasheria wetu walikwama wapi, kwanini hawakupata ushauri toka kwa watu ambao walishaingia mikataba kama hii ya kimataifa!

Read! Erythrocyte
Sasa unataka tulinganishe na Investment Protection Contract ipi?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Ukiusoma, kila upande umelinda maslahi yake. Arbitration, wanaanza wao wanaohusika, then wakishindwa wanamtafuta msuluhishi kwa kila upande kuleta mtu wao wakisimamiwa na third party ambaye watamchagua wao wawili. Ikishindikana hapo wanakwenda ICSDI...unaona kabisa hakuna aliye dictate terms kwa mwenzake!


Wanasheria wetu walikwama wapi, kwanini hawakupata ushauri toka kwa watu ambao walishaingia mikataba kama hii ya kimataifa!

Read! Erythrocyte
kinachowasumbua watanzania hawajui kuisoma hiyo mikataba ya kizungu hivyo wametokea wanasiasa uchwara kuwadanganya kuwa mkataba unashida basi woote wasio na upeo wa kuelewa wamejuwa kweli wakati umefafanuiliwa kabisa na wataalamu kuwa hauna shida ni vikasoro vyavidogovidogo tu vya kurekebisha lakini hawaellewi wacha waendelee kupayuka lakini mkataba ni halali hauna shaida mwekezaji aendelee tuna hii ni sababu wachache wenye mirija yao ya kunyonya inaenda kuzibwa ndiyo maana wanapiga kelele
 
kinachowasumbua watanzania hawajui kuisoma hiyo mikataba ya kizungu hivyo wametokea wanasiasa uchwara kuwadanganya kuwa mkataba unashida basi woote wasio na upeo wa kuelewa wamejuwa kweli wakati umefafanuiliwa kabisa na wataalamu kuwa hauna shida ni vikasoro vyavidogovidogo tu vya kurekebisha lakini hawaellewi wacha waendelee kupayuka lakini mkataba ni halali hauna shaida mwekezaji aendelee tuna hii ni sababu wachache wenye mirija yao ya kunyonya inaenda kuzibwa ndiyo maana wanapiga kelele
Una kichwa cha panzi wallah! 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Ebu niandikie senstensi hii kwa kiingereza nikupime (usiombe msaada): kama ingelikuwa siyo ujio wa magufuli, watu wote walianza kukata tamaa kuwa nchi hii ingelikuwa imeuzwa yote😀😀😀😀🙄🙄🙄🙄🙄🙄😳😳😳😛😛😛😳
 
Back
Top Bottom