Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
asante sana. HGA ndizo tanesco atasign kwa utekelezaji wa miradi ndani ya IGA! na huyo investor from abroad lazima katika mkataba Tanzania will feature as authorizing to Tanesco to sign the contract on its behalf! I stand to be corrected
Hapa chini nakuwekea kifungu 123 cha Katiba ya UAE ambacho Mahakama yenyewe imesema imetia shakha kama Dubai anauwezo wa kuingia mkataba wa kimataifa.