Angalia mrembo huyu alivyonijibu, anafaa kweli huyu?

Angalia mrembo huyu alivyonijibu, anafaa kweli huyu?

Wazee wa hovyo nuksiii sana! Hampitwagi eti!
Labda Wazee wengine wanaojiweza, ila Mimi na miaka hii 78 nawezea wapi Mjukuu.

Jogoo mwenyewe niliyemfuga anawika mara 1 kwa mwaka jamani 🤪🏃🏃🏃
 
Between the lines inaonyesha kabisa wewe ni msumbufu sana kwake boring guy....haiwezekani out of blue, unaanza na text ya salamu na i miss you.....ukute ana stress za vikoba au mwanaume wake anayempenda{wewe hupendwi } halafu anaona wewe boya wake unamcheki

.ndo maana ameamua kukufanyia hivyo.

ila we jamaa una ujinga sana eti unataka umtumie ᗰᗩᑎIᖴᗴՏT YOᑌᖇ ᗰᗩᑎᕼOOᗪ....hauelewi tu kuwa akutaki be a man with a value.
you can only atrract of your kind she's not.
 
Back
Top Bottom