92 jerrie
JF-Expert Member
- Feb 28, 2022
- 7,273
- 16,705
Ww nae ni mwanamke huna tofaut na huyo mwenzako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww nae ni mwanamke huna tofaut na huyo mwenzako
Pension ipo lakini?isijekuwa card ya TPB anakaa nayo bibiHahaha.........Unataka Bibi yako azirai kwa Presha, asivyopenda kushea na mtu 🤗
Haja uje nikupe darsa 🤪
Chai zingine bhana acha ndoto mkuu hapo ulipo unawaza kodi ikiisha unafanyaje alafu ukajengee malaya nyumba alooo amka jua lishawakaPathetic,
Unaombwa 30,000 dunia nzima inajua. Kwanza 30,000 atanunua Nini maskini?
Wenzio wanahonga Land cruiser LC200 na hiyo Ni nyumba ndogo. Halafu wewe, kwa siku unatumia sh ngapi kwa matumizi yako binafsi?
Ningempata mwanamke anayeniomba kiwango kidogo Kama hicho ningemjengea nyumba mbili.
Hahaha......................uje nikupe mashamba tu, pension ni mwezi hadi mwezi 🤪Pension ipo lakini?isijekuwa card ya TPB anakaa nayo bibi
Piga chini fasta
Eeeeeh Babu mashamba tena?Hayo mambo ya kama unataka Mali utaipata shambani mi Siyawezi,,sana sana nitayapiga bei tu🤣🤣Hahaha......................uje nikupe mashamba tu, pension ni mwezi hadi mwezi 🤪
Naam hii ndio jf bwana hakunaga mnyonge wote ni matajiri na watoto wa mjini hatariPathetic,
Unaombwa 30,000 dunia nzima inajua. Kwanza 30,000 atanunua Nini maskini?
Wenzio wanahonga Land cruiser LC200 na hiyo Ni nyumba ndogo. Halafu wewe, kwa siku unatumia sh ngapi kwa matumizi yako binafsi?
Ningempata mwanamke anayeniomba kiwango kidogo Kama hicho ningemjengea nyumba mbili.
Hahaha....haya ujue nikupe zako mapemaEeeeeh Babu mashamba tena?Hayo mambo ya kama unataka Mali utaipata shambani mi Siyawezi,,sana sana nitayapiga bei tu🤣🤣
Sawa babuHahaha....haya ujue nikupe zako mapema
Huyu ni mkavu mnooo...Nilitaka kusema hii...
Hapo penzi limeegemea upande mmoja.. na Mwanaume ndiyo anapenda....
Mwanamke anayekupenda hawezi kuwa na swagger za hivyo...
Kwamba unataka hadi Wazee tupigwe?Na ukikaa kifala utapigwa kizembe hadi akili ikukae sawa
Muda mwingine mpigwe ili mkomege !
Mpigwe tu ili mtulize vikojoleo vyenu!Kwamba unataka hadi Wazee tupigwe?
Sijapenda ...🤪
Kwa Vijana sawa, ila Sisi Wazee itakuwa kutuonea tu 🤪Mpigwe tu ili mtulize vikojoleo vyenu!
Wazee wa hovyo nuksiii sana! Hampitwagi eti!Kwa Vijana sawa, ila Sisi Wazee itakuwa kutuonea tu 🤪