Angalia mrembo huyu alivyonijibu, anafaa kweli huyu?

Angalia mrembo huyu alivyonijibu, anafaa kweli huyu?

Pathetic,
Unaombwa 30,000 dunia nzima inajua. Kwanza 30,000 atanunua Nini maskini?
Wenzio wanahonga Land cruiser LC200 na hiyo Ni nyumba ndogo. Halafu wewe, kwa siku unatumia sh ngapi kwa matumizi yako binafsi?
Ningempata mwanamke anayeniomba kiwango kidogo Kama hicho ningemjengea nyumba mbili.
Chai zingine bhana acha ndoto mkuu hapo ulipo unawaza kodi ikiisha unafanyaje alafu ukajengee malaya nyumba alooo amka jua lishawaka
 
Hahaha......................uje nikupe mashamba tu, pension ni mwezi hadi mwezi 🤪
Eeeeeh Babu mashamba tena?Hayo mambo ya kama unataka Mali utaipata shambani mi Siyawezi,,sana sana nitayapiga bei tu🤣🤣
 
Dogo huyo yuko straight nenda nae sawa na wewe mjibu. Njoo nikut...mbe utaondoka na hiyo 30. Basi mchezo unaishia hapo kila mtu atagain.
 
Pathetic,
Unaombwa 30,000 dunia nzima inajua. Kwanza 30,000 atanunua Nini maskini?
Wenzio wanahonga Land cruiser LC200 na hiyo Ni nyumba ndogo. Halafu wewe, kwa siku unatumia sh ngapi kwa matumizi yako binafsi?
Ningempata mwanamke anayeniomba kiwango kidogo Kama hicho ningemjengea nyumba mbili.
Naam hii ndio jf bwana hakunaga mnyonge wote ni matajiri na watoto wa mjini hatari
 
Na ukikaa kifala utapigwa kizembe hadi akili ikukae sawa
Muda mwingine mpigwe tu ili mkomege nakutulia !
 
Back
Top Bottom