Mlimani health center
JF-Expert Member
- Nov 25, 2021
- 595
- 1,490
Hawa ndo wanawake wa mjini ......heko heko kwa huyu mlimbwende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndo wanawake wa mjini ......heko heko kwa huyu mlimbwende
Acha sifa za kijinga mkuuPathetic,
Unaombwa 30,000 dunia nzima inajua. Kwanza 30,000 atanunua Nini maskini?
Wenzio wanahonga Land cruiser LC200 na hiyo Ni nyumba ndogo. Halafu wewe, kwa siku unatumia sh ngapi kwa matumizi yako binafsi?
Ningempata mwanamke anayeniomba kiwango kidogo Kama hicho ningemjengea nyumba mbili.
Jamaa sijaipenda komenti yake anahisi watu maisha tunafanana. Lakini pia mtoa mada hajasema hawezi kumpa hio 30k but reaction ya demu, unampa hi ye hakujibu analeta pesa mbele[emoji1][emoji1] Hali ya uchumi pia mnatofautian ko nibora tu ungekaa kmy tu kaka
Nina jamaa yangu anawaulizaga kabisa jina linatoka nani? Alafu ndo inakuwa imeisha hiyo..daah jamaa fala sana kwamba utajitahdiii aieee huyo asingepata hata 100.. ningemwambia ndo naweka ndo anenda kwa wakala alafu kimya
Hahahaha, haya bhana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
DuhNina jamaa yangu anawaulizaga kabisa jina linatoka nani? Alafu ndo inakuwa imeisha hiyo..
😅😅😅😅 bora hata umesema, sema huyu mwanamke ana madanga mengi afu anaonekana ana depression.Duh!! Kuna Watu hawajui kuomba hela kabisa yan.
Hela ndiyo zinaombwaga hivyo kirahisi?
Hata hajaitikia salamu?
kaka zetu mna shida 🤣🤣🤣🤣
Kwani mkuu kipi kiarabu apo?
Umesema sahihi MkuuTusilee wanawake wasio na mapenzu atakuletea presha
Wana vichwa vigumu sanaaTumia lugha za ushawishi kama alizotumia yule binti mwaka 1989 kuchukua hela zangu 😅
Uje nikupe darasa Mjukuu, najua una kichwa kizuri cha kuelewa masomo ya Babu yako 🤗Wana vichwa vigumu sanaa
Ha haaa Babu nikiiva utashangaa nakuanza kukunyemelea hata pension Yako mwenyeweUje nikupe darasa Mjukuu, najua una kichwa kizuri cha kuelewa masomo ya Babu yako 🤗
Hahaha.........Unataka Bibi yako azirai kwa Presha, asivyopenda kushea na mtu 🤗Ha haaa Babu nikiiva utashangaa nakuanza kukunyemelea hata pension Yako mwenyewe