Angalia mrembo huyu alivyonijibu, anafaa kweli huyu?

Angalia mrembo huyu alivyonijibu, anafaa kweli huyu?

Kilicho nikwaza Ni huyu bwana mkubwa kulalamika Hadi kuutangazia uma kwamba kaombwa 30,000.
Hiyo ni Siri ya ndani Kati ya wapenzi. Kama huna muambie yeye Ni binadamu.
Hawa ndio wanawasema wapenzi wao mapungufu walionayo wapenzi wao especially Yale ya ndaani ndani kabisa.
Tunza heshima ya mpenzi mke.
We mtu,ni me au Kei?
 
Wote ni binadam tofaut jinsia ukiona anakufanya kama ni mtu fulani ambae hauna umuhimu kwake na wewe inatakiwa umpunguze kikatili hadi asiamini kama ndo wewe
Oyaaa wee hii kauli ya kinyama
"""na wewe inatakiwa umpunguze kikatili hadi asiamini kama ndo wewe"" 😂😂😂😂
 
Achana na mahesabu marefu hivyo Babu,Tafuta Hela elfu 30 kitu gani?sema demu kazingua Hana hisia hata kidogo na mwenzie
Hahaha....................naona unataka kunikumbusha machungu ya mwaka 1989 nilipompa mrembo mmoja shilingi 4,350 kama zawadi ya siku yake ya kuzaliwa.

Hela hizo kwa sasa zina thamani ya zaidi ya shilingi milioni 13.5

Lakini ungejua Lugha aliyoitumia kuniomba, hata kama wewe ungekuwa Mpenzi wake lazima ungempa tu. Kuna warembo wanajua kushawishi Mjukuu 🤗🏃🏃🏃
 
Hahaha....................naona unataka kunikumbusha machungu ya mwaka 1989 nilipompa mrembo mmoja shilingi 4,350 kama zawadi ya siku yake ya kuzaliwa.

Hela hizo kwa sasa zina thamani ya zaidi ya shilingi milioni 13.5

Lakini ungejua Lugha aliyoitumia kuniomba, hata kama wewe ungekuwa Mpenzi wake lazima ungempa tu. Kuna warembo wanajua kushawishi Mjukuu 🤗🏃🏃🏃
Hayo ndio mambo Sasa,bahati mbaya umezeeka Babu,ila tungeongea Kwa herufi kubwa najua nisingekosa ka vanguard ...najuta kuchelewa kuzaliwa😁😁😁
 
Hayo ndio mambo Sasa,bahati mbaya umezeeka Babu,ila tungeongea Kwa herufi kubwa najua nisingekosa ka vanguard ...najuta kuchelewa kuzaliwa😁😁😁
Hahahaha......................Babu yako nimezeeka sasa, ila bila shaka utapata Vijana wenzako.

Maana nilisikia Vijana wa miaka yenu hii Wana hela nyingi kutuzidi sisi Vijana wa Zamani 🤪
 
Ajajibu kuhusu wewe kummis! Inaonekana wewe ukisema ume mmis ina maana unataka ngono, na anajua wewe ni bahili, au sound, hapo ndo anaweka maitaji
Uko sahihi mwamba ni bahili na shida yake hapo kwel ni ngono na binti anamuelewa kuku wake
 
Hahahaha......................Babu yako nimezeeka sasa, ila bila shaka utapata Vijana wenzako.

Maana nilisikia Vijana wa miaka yenu hii Wana hela nyingi kutuzidi sisi Vijana wa Zamani 🤪
Babu wa siku hizi wanazo ila wabahili hamna mfano.
 
Ungeipa tafsiri ya kiswahili, kichina na hata kispanyola. Naona vijana wanajisahau sana, eti 'nitajitahidi leo upate' mtu hata salam hajibu..dah!
Inaonekana jamaa anamuelewa sana huyo dada.....dah
 
Ndio hata asiitikie salamu?

Sawa kuna ambao tushawapanda vichwani.. lkn why umuonyeshe kwamba uko juu ya kichwa chake?

Umesalimiwa.. itikia.. ita babe ya kinafki, aitike. Sema shida yako ya hiyo afu30

Sasa wifi yetu pale dah 😂😂
Hata me sikupi
Kama ndo rafiki angu umeniomba nakusuta kwqnza 😂😂😂😂
Basi mimi naomba 20k tu dada dimpoz😍😂
 
Dunia ilipofika patamu sana. "ukweli ukidhihiri uongo hujitenga".

Watu straight to the point. Wanapiga "bullseye".

Eeeh vijana nyinyi, oaneni, usherati na uzinzi ni uchafu.
At the same unataka vijana wakutongoze.

Ukafungua na Uzi kabisa.

[emoji706][emoji706][emoji2781]
 
Duh!! Kuna Watu hawajui kuomba hela kabisa yan.
Hela ndiyo zinaombwaga hivyo kirahisi?
Hata hajaitikia salamu?
kaka zetu mna shida [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anaomba kavu kabisa yaani

Utadhani zake!?

Ndio wanamega wanaachwa na hata hawaolewi.
 
Pathetic,
Unaombwa 30,000 dunia nzima inajua. Kwanza 30,000 atanunua Nini maskini?
Wenzio wanahonga Land cruiser LC200 na hiyo Ni nyumba ndogo. Halafu wewe, kwa siku unatumia sh ngapi kwa matumizi yako binafsi?
Ningempata mwanamke anayeniomba kiwango kidogo Kama hicho ningemjengea nyumba mbili.
Usikute una type hayo maandishi KUTOKEA geto lako la manzese.

Au kwa bimkubwa huko ikungulyabashashi.

Unaijua V8 Wewe[emoji15][emoji115]!!
 
Back
Top Bottom