Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hata kama ulikuwa na mpango wa kumpa unalazimika kusitisha kwa kweliTatizo sio kuombwa...
TATIZO KUBWA KWA HERUFI KUBWA...
ANASALIMIA BADALA KUITIKIWA UNAOMBWA PESA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama ulikuwa na mpango wa kumpa unalazimika kusitisha kwa kweliTatizo sio kuombwa...
TATIZO KUBWA KWA HERUFI KUBWA...
ANASALIMIA BADALA KUITIKIWA UNAOMBWA PESA
Wewe Ni kei au Mee?Mkuu
Naomba elf 20…
Sio kei, ni Ke.. 😁Wewe Ni kei au Mee?
[emoji23][emoji23]Sio kei, ni Ke.. [emoji16]
Wewe kweli😳😂Pathetic,
Unaombwa 30,000 dunia nzima inajua. Kwanza 30,000 atanunua Nini maskini?
Wenzio wanahonga Land cruiser LC200 na hiyo Ni nyumba ndogo. Halafu wewe, kwa siku unatumia sh ngapi kwa matumizi yako binafsi?
Ningempata mwanamke anayeniomba kiwango kidogo Kama hicho ningemjengea nyumba mbili.
🤣🤣🤣 Hata mimi nimeshangaa aiseeMkuu
Naomba elf 20…
Eti eeehNilitaka kusema hii...
Hapo penzi limeegemea upande mmoja.. na Mwanaume ndiyo anapenda....
Mwanamke anayekupenda hawezi kuwa na swagger za hivyo...
HahahahahaInaonyesha wewe ndio unampenda huyo demu.
Demu hana mpango na wewe kabisa.
Maji ya kisima hayo mkuu.
Kilicho nikwaza Ni huyu bwana mkubwa kulalamika Hadi kuutangazia uma kwamba kaombwa 30,000.Mkuu Embezzler naona ndio anatafuta wakala sasa 😄😄
Siyo kwamba akiambiwa Nimekumiss, maana yake anaombwa ngono?Duh!! Kuna Watu hawajui kuomba hela kabisa yan.
Hela ndiyo zinaombwaga hivyo kirahisi?
Hata hajaitikia salamu?
kaka zetu mna shida 🤣🤣🤣🤣
Mkuu kuna wengine maokoto yao ni chini ya 30KKilicho nikwaza Ni huyu bwana mkubwa kulalamika Hadi kuutangazia uma kwamba kaombwa 30,000.
Hiyo ni Siri ya ndani Kati ya wapenzi. Kama huna muambie yeye Ni binadamu.
Hawa ndio wanawasema wapenzi wao mapungufu walionayo wapenzi wao especially Yale ya ndaani ndani kabisa.
Tunza heshima ya mpenzi mke.
Sijui wana mazoea gani?Siyo kwamba akiambiwa Nimekumiss, maana yake naomba ngono?
She has to be exact.
Kwanini lakini nyie watu wa jf ni wakorofi 😂😂😂😂😂Kwanza unamiliki Simu Infinix Inayo support 3G Alafu unahonga Elfu 30 aisee.... Ni nani Alie turoga sisi wanaume hata kujiongeza tu hapo huwez mtu unamsalimia hata Salam hamna tayari naomba Hela Alfu mwamba unajitetea nitajitaidi Leo.
Kiufupi Demu alishakuona Zoba so anakutumia kama sehem ya ku solve shida zake.
Ushauri wangu acha Kuwa Mjinga jitafute kwanza Mbona madem wengi kwanza demu anayekuoenda hawez kukuomba Hela hivyo
😁Ajitafute kwanza mwanetu.Kwanini lakini nyie watu wa jf ni wakorofi 😂😂😂😂😂