Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa Dem n muuzaji hvyo katamka bei yake km jamaa anataka show ..ss jamaa yy analeta bby bby nyingii.Ajajibu kuhusu wewe kummis! Inaonekana wewe ukisema ume mmis ina maana unataka ngono, na anajua wewe ni bahili, au sound, hapo ndo anaweka maitaji yake.
Swali lako halieleweki?
- Anafaa kwa matumizi gani?
Unamwitaje mrembo mwanamke mgumu hivi?
Siku hizi ndio maana wanaliwa mpaka nyuma yaani swala la pesa ni jambo muhimu lakini wenzetu walivyolichukulia is too much.
Shida sio kiwango cha pesa bali mustakabali .Pathetic,
Unaombwa 30,000 dunia nzima inajua. Kwanza 30,000 atanunua Nini maskini?
Wenzio wanahonga Land cruiser LC200 na hiyo Ni nyumba ndogo. Halafu wewe, kwa siku unatumia sh ngapi kwa matumizi yako binafsi?
Ningempata mwanamke anayeniomba kiwango kidogo Kama hicho ningemjengea nyumba mbili.
Toka lini Mwanamke anapenda,Mwanamke ajaumbiwa moyo wa kupenda.Sema huyo demu ana heshima.Nilitaka kusema hii...
Hapo penzi limeegemea upande mmoja.. na Mwanaume ndiyo anapenda....
Mwanamke anayekupenda hawezi kuwa na swagger za hivyo...
We nae ni tahira huna tofauti na huyo demuPathetic,
Unaombwa 30,000 dunia nzima inajua. Kwanza 30,000 atanunua Nini maskini?
Wenzio wanahonga Land cruiser LC200 na hiyo Ni nyumba ndogo. Halafu wewe, kwa siku unatumia sh ngapi kwa matumizi yako binafsi?
Ningempata mwanamke anayeniomba kiwango kidogo Kama hicho ningemjengea nyumba mbili.
Acha ujinga kukaa kwa shemeji yako ndo unadhani hivyo vyote dada yako keshahongwaPathetic,
Unaombwa 30,000 dunia nzima inajua. Kwanza 30,000 atanunua Nini maskini?
Wenzio wanahonga Land cruiser LC200 na hiyo Ni nyumba ndogo. Halafu wewe, kwa siku unatumia sh ngapi kwa matumizi yako binafsi?
Ningempata mwanamke anayeniomba kiwango kidogo Kama hicho ningemjengea nyumba mbili.
Watu hawataki kuelewa mkuu... Tafuta pesa hakuna mtu atakupenda bila pesa, kwa nn watu hawataki kuelewa... We unataka akupende kwan ni mama ako huyoVijana mnashida siku hizi, ukitaka upendwe tafuta pesa tu.
Mnatutesa nyie viumbeDuh!! Kuna Watu hawajui kuomba hela kabisa yan.
Hela ndiyo zinaombwaga hivyo kirahisi?
Hata hajaitikia salamu?
kaka zetu mna shida [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tatizo sio kuombwa...Imagine unaombwa hicho kiasi kila baada ya siku 3, ina maana kwa mwezi utakuwa umetumia shilingi 300,000 kwa PussyCat mmoja.
Kama unao wawili wa dizaini hiyo ina maana utatumia shilingi 300,000 pia
Kwa mwezi utakuwa umetumia shilingi 600,000
Kwa mwaka mmoja Utatumia shilingi 7,200,000
Ambazo ni sawa na tofali za inchi tano 7,200 ambazo ukiwa na Kiwanja Town utatumia Kujenga Nyumba ya Vyumba 3 yenye Jiko, Sittingroom, Diningroom na study room n.k
Ukisema hela hiyo ununue gari, basi utapata Toyota Crown Mpya kutoka Japan baada ya Miaka miwili.
Mawazo ya Wazee 🏃🏃🏃🏃🏃