Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Sasa Depal ulitaka aombe Kwa ugumu?Duh!! Kuna Watu hawajui kuomba hela kabisa yan.
Hela ndiyo zinaombwaga hivyo kirahisi?
Hata hajaitikia salamu?
kaka zetu mna shida 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Depal ulitaka aombe Kwa ugumu?Duh!! Kuna Watu hawajui kuomba hela kabisa yan.
Hela ndiyo zinaombwaga hivyo kirahisi?
Hata hajaitikia salamu?
kaka zetu mna shida 🤣🤣🤣🤣
Ndio hata asiitikie salamu?Sasa Depal ulitaka aombe Kwa ugumu?
Akili kubwaW=woman
M=money
T=time
W=M × T
But. Time is money
M=T
W= M × M
W= M²
Then much money is problem (P)
M² = P
But
W= M²
W=M²=P
W=P
:; Women are Problem
Kwanini azunguke 😂😂😂😂😂Ndio hata asiitikie salamu?
Sawa kuna ambao tushawapanda vichwani.. lkn why umuonyeshe kwamba uko juu ya kichwa chake?
Umesalimiwa.. itikia.. ita babe ya kinafki, aitike. Sema shida yako ya hiyo afu30
Sasa wifi yetu pale dah 😂😂
Hata me sikupi
Kama ndo rafiki angu umeniomba nakusuta kwqnza 😂😂😂😂
Kashamfanya boya kijana wa watu masikini. Anamuona kama ATm ya benk mda wowote sasa yoyote anaweza dai hela na akapata.Duh!! Kuna Watu hawajui kuomba hela kabisa yan.
Hela ndiyo zinaombwaga hivyo kirahisi?
Hata hajaitikia salamu?
kaka zetu mna shida [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahahahaha kukaza kipaji mkuu 😂😂😂🙌🙌🙌🙌Manzi anaonekana hana mapenzi na wewe ila we unajiresi sana kama fuso inaajastiwa breki
Demu anakujibu shortly we unajielezea page 3 vunga man kaza Acha kujilegeza utaishia kuwapa hela hao madem hakuna maendeleo utafanya.
Huyo lazima atakuwa mzawa wa Dodoma
Ahahahahah Dodoma hawapo hivo mkuuHuyo lazima atakuwa mzawa wa Dodoma
Kitendo cha kujibu kama vile namsumbua hapohapo huwa nafuta namba hata awe mzuri kama malaika sitamtafuta tena hadi siku kiama kinasimama dunia hii.Ahahahaha kukaza kipaji mkuu 😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Dadeq 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌Kitendo cha kujibu kama vile namsumbua hapohapo huwa nafuta namba hata awe mzuri kama malaika sitamtafuta tena hadi siku kiama kinasimama dunia hii.
Ndiyo ndiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti eeeh
😂 sikupi hiyo hela na utelezi wako sitakDuh!! Kuna Watu hawajui kuomba hela kabisa yan.
Hela ndiyo zinaombwaga hivyo kirahisi?
Hata hajaitikia salamu?
kaka zetu mna shida 🤣🤣🤣🤣
Ndio wengi walivyo yani ni taabu kweli kweliMasikini! Kumbe mtoto wa mama mkwe ana bahati sana?
Mapenzi yanapoteza maana, wanawake wamebaki wachache wengi wadangaji!
Sasa ukute mtu hapo yuko serious anataka mahusiano serious ndio mambo kama hayo! Poleni wanaume, kweli nimewaonea huruma sana.
Wote ni binadam tofaut jinsia ukiona anakufanya kama ni mtu fulani ambae hauna umuhimu kwake na wewe inatakiwa umpunguze kikatili hadi asiamini kama ndo weweDadeq 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Kama una huo msimamo wee so poa kabisa.. khaaa
Achana na mahesabu marefu hivyo Babu,Tafuta Hela elfu 30 kitu gani?sema demu kazingua Hana hisia hata kidogo na mwenzieImagine unaombwa hicho kiasi kila baada ya siku 3, ina maana kwa mwezi utakuwa umetumia shilingi 300,000 kwa PussyCat mmoja.
Kama unao wawili wa dizaini hiyo ina maana utatumia shilingi 300,000 pia
Kwa mwezi utakuwa umetumia shilingi 600,000
Kwa mwaka mmoja Utatumia shilingi 7,200,000
Ambazo ni sawa na tofali za inchi tano 7,200 ambazo ukiwa na Kiwanja Town utatumia Kujenga Nyumba ya Vyumba 3 yenye Jiko, Sittingroom, Diningroom na study room n.k
Ukisema hela hiyo ununue gari, basi utapata Toyota Crown Mpya kutoka Japan baada ya Miaka miwili.
Mawazo ya Wazee 🏃🏃🏃🏃🏃