Angalia mrembo huyu alivyonijibu, anafaa kweli huyu?

Angalia mrembo huyu alivyonijibu, anafaa kweli huyu?

Duh!! Kuna Watu hawajui kuomba hela kabisa yan.
Hela ndiyo zinaombwaga hivyo kirahisi?
Hata hajaitikia salamu?
kaka zetu mna shida 🤣🤣🤣🤣
Sasa Depal ulitaka aombe Kwa ugumu?
 
Sasa Depal ulitaka aombe Kwa ugumu?
Ndio hata asiitikie salamu?

Sawa kuna ambao tushawapanda vichwani.. lkn why umuonyeshe kwamba uko juu ya kichwa chake?

Umesalimiwa.. itikia.. ita babe ya kinafki, aitike. Sema shida yako ya hiyo afu30

Sasa wifi yetu pale dah 😂😂
Hata me sikupi
Kama ndo rafiki angu umeniomba nakusuta kwqnza 😂😂😂😂
 
Manzi anaonekana hana mapenzi na wewe ila we unajiresi sana kama fuso inaajastiwa breki

Demu anakujibu shortly we unajielezea page 3 vunga man kaza Acha kujilegeza utaishia kuwapa hela hao madem hakuna maendeleo utafanya.
 
Ndio hata asiitikie salamu?

Sawa kuna ambao tushawapanda vichwani.. lkn why umuonyeshe kwamba uko juu ya kichwa chake?

Umesalimiwa.. itikia.. ita babe ya kinafki, aitike. Sema shida yako ya hiyo afu30

Sasa wifi yetu pale dah 😂😂
Hata me sikupi
Kama ndo rafiki angu umeniomba nakusuta kwqnza 😂😂😂😂
Kwanini azunguke 😂😂😂😂😂
Huyo mrembo yupo straight forward
 
Duh!! Kuna Watu hawajui kuomba hela kabisa yan.
Hela ndiyo zinaombwaga hivyo kirahisi?
Hata hajaitikia salamu?
kaka zetu mna shida [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kashamfanya boya kijana wa watu masikini. Anamuona kama ATm ya benk mda wowote sasa yoyote anaweza dai hela na akapata.
 
Manzi anaonekana hana mapenzi na wewe ila we unajiresi sana kama fuso inaajastiwa breki

Demu anakujibu shortly we unajielezea page 3 vunga man kaza Acha kujilegeza utaishia kuwapa hela hao madem hakuna maendeleo utafanya.
Ahahahaha kukaza kipaji mkuu 😂😂😂🙌🙌🙌🙌
 
Ahahahaha kukaza kipaji mkuu 😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Kitendo cha kujibu kama vile namsumbua hapohapo huwa nafuta namba hata awe mzuri kama malaika sitamtafuta tena hadi siku kiama kinasimama dunia hii.
 
Kitendo cha kujibu kama vile namsumbua hapohapo huwa nafuta namba hata awe mzuri kama malaika sitamtafuta tena hadi siku kiama kinasimama dunia hii.
Dadeq 😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Kama una huo msimamo wee so poa kabisa.. khaaa
 
Duh!! Kuna Watu hawajui kuomba hela kabisa yan.
Hela ndiyo zinaombwaga hivyo kirahisi?
Hata hajaitikia salamu?
kaka zetu mna shida 🤣🤣🤣🤣
😂 sikupi hiyo hela na utelezi wako sitak
 
Masikini! Kumbe mtoto wa mama mkwe ana bahati sana?
Mapenzi yanapoteza maana, wanawake wamebaki wachache wengi wadangaji!

Sasa ukute mtu hapo yuko serious anataka mahusiano serious ndio mambo kama hayo! Poleni wanaume, kweli nimewaonea huruma sana.
Ndio wengi walivyo yani ni taabu kweli kweli
 
Imagine unaombwa hicho kiasi kila baada ya siku 3, ina maana kwa mwezi utakuwa umetumia shilingi 300,000 kwa PussyCat mmoja.

Kama unao wawili wa dizaini hiyo ina maana utatumia shilingi 300,000 pia

Kwa mwezi utakuwa umetumia shilingi 600,000

Kwa mwaka mmoja Utatumia shilingi 7,200,000

Ambazo ni sawa na tofali za inchi tano 7,200 ambazo ukiwa na Kiwanja Town utatumia Kujenga Nyumba ya Vyumba 3 yenye Jiko, Sittingroom, Diningroom na study room n.k

Ukisema hela hiyo ununue gari, basi utapata Toyota Crown Mpya kutoka Japan baada ya Miaka miwili.

Mawazo ya Wazee 🏃🏃🏃🏃🏃
Achana na mahesabu marefu hivyo Babu,Tafuta Hela elfu 30 kitu gani?sema demu kazingua Hana hisia hata kidogo na mwenzie
 
Back
Top Bottom