Angalia mrembo huyu alivyonijibu, anafaa kweli huyu?

Angalia mrembo huyu alivyonijibu, anafaa kweli huyu?

Ni mpuuzi tu, japo huenda babez wake yupo kibiashara, hapa naona lugha gongana, mmoja yupo kimapenzi na mwingine yupo kazini.
Kabisa....dada Yuko straight hataki longolongo
 
Utaishi sana faiza maana hunaga majibu ya makasiriko hunaga cha kuchukia hata ukerwe vipi au ndiyo ukomavu wa kisiasa
mama Samia katukumbusha makubwa mno, Reconciliation, Resilience , Reform na Revuilding.

Na jana Makonda katupa msemo mpya wa "watoa taarifa".
 
Back
Top Bottom