Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuna baadhi ya mambo hayatokei kwa bahati mbaya, hupangwa.
UMEWAZA SANAKuna baadhi ya mambo hayatokei kwa bahati mbaya, hupangwa.
Pichani kuna rais wa awamu ya nne, sita na saba🤔
Kweli wa mwisho atakuwa wa kwanza namuona b tozo nyuma kabisa 😁😁
Hapo kwenye awamu ya saba sijakuelewa umemkusudia nani?!Kuna baadhi ya mambo hayatokei kwa bahati mbaya, hupangwa.
Pichani kuna rais wa awamu ya nne, sita na saba🤔
Chakademus na fundi cherehani mtata
Kama gwaride tu,,when opportunity MEETS preparation"
Hapa kuna picha ya rais mpya na kijana zaidi ajaye
Hii tabia ya mzee wangu Wasira pitanisha vifungo vya koti aache mara moja ,ni makusudi wala sio bahati mbaya, anamanisha nini kama sio mazalauPicha nyingine hii hapa
View attachment 3214724
WASIRA ANGEPATAGA URAISI ENZI HIZO ASINGETOKA MADARAKANI KAMWE, MPAKA LEO ANGEKUWA BADO YUPO. MZEE YUPO TOKA HATA MUSEVEN ANAJITAFUTA
Mwamba Tuvushe anajua sana Kufosi koneksheni. Haya ndo maoni yangu