zous
JF-Expert Member
- Sep 25, 2017
- 3,152
- 5,854
Wazungu wanatumia ela nyingi xnaa kufanya hizi project ya kuweza kupata maisha nje ya dunia.
Wanaamini uwepo wa mungu ndio maana wanapingana na maneno yake.
Wanajua ipo siku dunia itaangamizwa ndio maana wana tafuta sehem pa kueka makazi wakijua wakat dunia ikiisha wakiwa huko watasalimika.
Ila ilishaandikwa watafanya vyote ila kuikimbia ardhi hii hawatoweza.
Wanachojarib ni kupingana na maneno katika Quran ndio maana kila kilichoandikwa kwenye icho kitabu wanakifanyia uchunguzi.
Akati huku watz wakikizarau hicho kitabu wao washakisoma na kufanyia kazi maneno mengi xnaa
Wanaamini uwepo wa mungu ndio maana wanapingana na maneno yake.
Wanajua ipo siku dunia itaangamizwa ndio maana wana tafuta sehem pa kueka makazi wakijua wakat dunia ikiisha wakiwa huko watasalimika.
Ila ilishaandikwa watafanya vyote ila kuikimbia ardhi hii hawatoweza.
Wanachojarib ni kupingana na maneno katika Quran ndio maana kila kilichoandikwa kwenye icho kitabu wanakifanyia uchunguzi.
Akati huku watz wakikizarau hicho kitabu wao washakisoma na kufanyia kazi maneno mengi xnaa