Angalia picha ya Dunia ukiwa Sayari ya Mars

Angalia picha ya Dunia ukiwa Sayari ya Mars

NASA wananufaika vipi na hizi projects zao?

Kuna longolongo kibwena kwenye hizi infos zao
Inategemea na tafsiri yako ya "kunufaika" a scientist's perpective of benefits and yours are two different entities by a billion miles. Wenzetu wanaona miaka 500 mbele nyie endeleeni kumsifia mungu.

Wewe jiulize kwanini Marekani ni tajiri na imeendelea na Tanzania ni Masikini ya kutupwa, kama ukikosa jibu basi hata nikikueleza faida wanazopata hautonielewa.
 
Ukitaka kugundua waafrica wana akili fupi basi check huu uzi. Kazi kafanya mzungu lakini sifa, pongezi na credits anapewa Mungu.

This is why I don't use JF anymore. It's a Home of Plain Thinkers, false advertising.
 
Inategemea na tafsiri yako ya "kunufaika" a scientist's perpective of benefits and yours are two different entities by a billion miles. Wenzetu wanaona miaka 500 mbele nyie endeleeni kumsifia mungu.

Wewe jiulize kwanini Marekani ni tajiri na imeendelea na Tanzania ni Masikini ya kutupwa, kama ukikosa jibu basi hata nikikueleza faida wanazopata hautonielewa.
Hujajibu swali zaidi ya kuanika ushabiki wako hapa
 
Kuna mahali kwenye biblia inasema 'yeye( mungu) huitundika dunia pasipo na kitu'. Hakika mungu alijipanga sana kuumba ulimwengu
Huyo mungu unayemuandika kwa herufi ndogo ni yupi?
 
Back
Top Bottom