Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Inategemea na tafsiri yako ya "kunufaika" a scientist's perpective of benefits and yours are two different entities by a billion miles. Wenzetu wanaona miaka 500 mbele nyie endeleeni kumsifia mungu.NASA wananufaika vipi na hizi projects zao?
Kuna longolongo kibwena kwenye hizi infos zao
Hicho ni chombo kilichotumwa mars kinaitwa perseverance.Uongo huo tena wa wazi wazi kabisa,waseme hiyo picha waliipiga wakiwa wapi
Hahah! Sababu iko mbali mkuu. Kama gari inavyokuwa ndogo ikiwa mbali lakini inakuwa kubwa ikiwa karibu. Mfano wakati unavuka barabara.Mbona "kadogo" hivyo?
Hujajibu swali zaidi ya kuanika ushabiki wako hapaInategemea na tafsiri yako ya "kunufaika" a scientist's perpective of benefits and yours are two different entities by a billion miles. Wenzetu wanaona miaka 500 mbele nyie endeleeni kumsifia mungu.
Wewe jiulize kwanini Marekani ni tajiri na imeendelea na Tanzania ni Masikini ya kutupwa, kama ukikosa jibu basi hata nikikueleza faida wanazopata hautonielewa.
Huyo mungu unayemuandika kwa herufi ndogo ni yupi?Kuna mahali kwenye biblia inasema 'yeye( mungu) huitundika dunia pasipo na kitu'. Hakika mungu alijipanga sana kuumba ulimwengu
Mungu wa baali chukizo la waamoniHuyo mungu unayemuandika kwa herufi ndogo ni yupi?
yeah kama umeshindwa kuona jibu hapo then sitojisumbua kukuelewesha. Just stay right there!Hujajibu swali zaidi ya kuanika ushabiki wako hapa