Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ni upi sasa! Tunasubiria na wewe uje utafiti wako, ili tupate ukweli. Maana hilo tatizo la rushwa kwa askari barabarani kwenye hii njia, siyo la kusingiziwa! Lipo.Jumla 70,000+ nauli yenyewe bei gani? Huu ni uongo.
Coaster hizo za Tanga to Lushoto, Lushoto to TangaDereva wa nini uyo? 🤣🤣
Nauli elfu8 Tanga to Lushoto na ni coasterUkweli ni upi sasa! Tunasubiria na wewe uje utafiti wako, ili tupate ukweli. Maana hilo tatizo la rushwa kwa askari barabarani kwenye hii njia, siyo la kusingiziwa! Lipo.
Na binafsi nimekuwa nikishuhudia mara kadhaa madereva na makondakta wao wanavyo lalamikia kero za hao jamaa kwenye hii njia yangu pendwa ya Lushoto Tanga.
Nafahamu! Lakini bado ukweli utabakia pale pale; askari wa barabarani kwenye hii njia, wana njaa kupitiliza.Nauli elfu8 Tanga to Lushoto na ni coaster
Let me askJumla 70,000+ nauli yenyewe bei gani? Huu ni uongo.
Kila kituo ambapo kuna polisi unatoa chochote, ndiyo maana ni 2,000Huyu nae mzembe wakati ukitoka dar hadi moshi elfu10 tu inatosha, yeye iweje ndani ya mkoa huohuo anatoa karibia fifty
EINSTEIN112 why dislike? Hii ni narration ya dereva ambaye sidhani kama ana haja ya kunidanganya!Nimehojiana na dereva alivyokuwa anatoa rushwa kwa trafiki na kumshukuru Kinana kupunguza trafiki barabarani.
Unatoka Tanga kwenda Lushoto. Unatoa rushwa as follows
1. Ukitoka Tanga stend ya zamani kabla ya kufika Kange stend unatoa 2,000
2. Kange stend kabla ya kuanza safari ya L:ushotondoka unatoa.................10,000
3. Maweni.unatoa.......................................................................................................................2,000
4. Pongwe unartoa....................................................................................................................2,000
5. Mizani unatoa...........................................................................................................................2,000
6. Mkanyageni unatoa.............................................................................................................2,000
7. Tanganyika unatoa...............................................................................................................2,000
8. Muheza unatoa.............................................................................................................................3,000
9. Kibanda. unatoa...........................................................................................................................2,000
10. Kerenge unatoa...........................................................................................................................2,000
11. Hale unatoa.....................................................................................................................................2,000
12. Segera unatoa...............................................................................................................................3,000
13. Maili kumi unatoa........................................................................................................................3,000
14. Stend Korogwe unartoa...........................................................................................................5,000
15. Kilimanjaro hotel unatoa.........................................................................................................2,000
16. Makuyuni unatoa..........................................................................................................................2,000
17. Mwelia unatoa................................................................................................................................2,000
18. Kambini unatoa ............................................................................................................................2,000
19. Mombo unatoa..............................................................................................................................5,000
20. Bangala unatoa...........................................................................................................................7,000
21. Soni unatoa.......................................................................................................................................5,000
22. Stend soni unatoa...............................................................................................................................5,000
23. Huko kwenda Lushoto toka Soni hakuna trafiki
(vingine nimevisahau)
JPM alisema ya KIWIEINSTEIN112 why dislike? Hii ni narration ya dereva ambaye sidhani kama ana haja ya kunidanganya!
Elfu 9. Basi la watu 30 na pakia/ shusha...40x 9000 = 360,000...... or soJumla 70,000+ nauli yenyewe bei gani? Huu ni uongo.
Hapa umeongea kama motiveshen spika.Elfu 9. Basi la watu 30 na pakia/ shusha...40x 9000 = 360,000...... or so
Wangechukua hata buku buku...kwa nnavyowajua hawawezi acha kitudu! mie nlitaman ingetokea IGP akafukuza line nzima hiyo iwe fundisho! halafu hizi faini zinakaribisha sana Rushwa! ingekuwa kosa moja elfu 5 tuone kama askar wangekuwa wanapewa rushwa
Hao ndio viwavi kijani😂Nimehojiana na dereva alivyokuwa anatoa rushwa kwa trafiki na kumshukuru Kinana kupunguza trafiki barabarani.
Unatoka Tanga kwenda Lushoto. Unatoa rushwa as follows
1. Ukitoka Tanga stend ya zamani kabla ya kufika Kange stend unatoa 2,000
2. Kange stend kabla ya kuanza safari ya L:ushotondoka unatoa.................10,000
3. Maweni.unatoa.......................................................................................................................2,000
4. Pongwe unartoa....................................................................................................................2,000
5. Mizani unatoa...........................................................................................................................2,000
6. Mkanyageni unatoa.............................................................................................................2,000
7. Tanganyika unatoa...............................................................................................................2,000
8. Muheza unatoa.............................................................................................................................3,000
9. Kibanda. unatoa...........................................................................................................................2,000
10. Kerenge unatoa...........................................................................................................................2,000
11. Hale unatoa.....................................................................................................................................2,000
12. Segera unatoa...............................................................................................................................3,000
13. Maili kumi unatoa........................................................................................................................3,000
14. Stend Korogwe unartoa...........................................................................................................5,000
15. Kilimanjaro hotel unatoa.........................................................................................................2,000
16. Makuyuni unatoa..........................................................................................................................2,000
17. Mwelia unatoa................................................................................................................................2,000
18. Kambini unatoa ............................................................................................................................2,000
19. Mombo unatoa..............................................................................................................................5,000
20. Bangala unatoa...........................................................................................................................7,000
21. Soni unatoa.......................................................................................................................................5,000
22. Stend soni unatoa...............................................................................................................................5,000
23. Huko kwenda Lushoto toka Soni hakuna trafiki
(vingine nimevisahau)
Kwa taarifa yako ni kwamba hakuna jipya wamerudi kama zamani usumbufu ni uleuleNimehojiana na dereva alivyokuwa anatoa rushwa kwa trafiki na kumshukuru Kinana kupunguza trafiki barabarani.
Unatoka Tanga kwenda Lushoto. Unatoa rushwa as follows
1. Ukitoka Tanga stend ya zamani kabla ya kufika Kange stend unatoa 2,000
2. Kange stend kabla ya kuanza safari ya L:ushotondoka unatoa.................10,000
3. Maweni.unatoa.......................................................................................................................2,000
4. Pongwe unartoa....................................................................................................................2,000
5. Mizani unatoa...........................................................................................................................2,000
6. Mkanyageni unatoa.............................................................................................................2,000
7. Tanganyika unatoa...............................................................................................................2,000
8. Muheza unatoa.............................................................................................................................3,000
9. Kibanda. unatoa...........................................................................................................................2,000
10. Kerenge unatoa...........................................................................................................................2,000
11. Hale unatoa.....................................................................................................................................2,000
12. Segera unatoa...............................................................................................................................3,000
13. Maili kumi unatoa........................................................................................................................3,000
14. Stend Korogwe unartoa...........................................................................................................5,000
15. Kilimanjaro hotel unatoa.........................................................................................................2,000
16. Makuyuni unatoa..........................................................................................................................2,000
17. Mwelia unatoa................................................................................................................................2,000
18. Kambini unatoa ............................................................................................................................2,000
19. Mombo unatoa..............................................................................................................................5,000
20. Bangala unatoa...........................................................................................................................7,000
21. Soni unatoa.......................................................................................................................................5,000
22. Stend soni unatoa...............................................................................................................................5,000
23. Huko kwenda Lushoto toka Soni hakuna trafiki
(vingine nimevisahau)
exactly, kama kawa vijana wanaitaKwa taarifa yako ni kwamba hakuna jipya wamerudi kama zamani usumbufu ni uleule