Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Hakika🤣🤣🤣🤣🪑💺🎶Reli ya kati ya mjerumani na Tazara ya macho madogo tumeziua kiaina.
Hii mpya yetu ndio tutaiweza ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika🤣🤣🤣🤣🪑💺🎶Reli ya kati ya mjerumani na Tazara ya macho madogo tumeziua kiaina.
Hii mpya yetu ndio tutaiweza ?
Kweli tulikuwa nao sawa kama unabisha tazama herufi zilizomo kati ya V na M katika keyboard yakoHapo machatu yamelala baada ya mihangaiko ya siku nzima.
Daah hawa macho madogo shikamoo.
Halafu hawa ndio tunaambiwa tulikuwa nao uchumi mmoja miaka ya sitini🤡😎
nachekaga sana nikiskia eti miaka ya sabini bongo tulikua uchumi sawa na china....😀😀😀😀😀😀Hapo vyuma vinapumua kama mabasi kumbe nyoka tupu.
Daah! Kweli kila jamii ina namna unavyo fikiri na kuchukulia mambo kwa uzito.
yetu ile ni joka la kibisa inaachwa hadi na basi.hayo machatu ni bullet mkuu, ya mwendo hatar ya chini kabisa itakuwa over 200km/h, kinyoka chetu kinaenda 80km/h
Ukikosa hela hapo nenda katambike maana uhakika kuwinAu nina bet TZ itaendelea kua na umeme wa kusuasua hata miaka 20 ijayo licha ya mradi wa umeme bwawa la Rufiji. Odds 100,000 😆
Chatu wetu kala ng'ombe watatu hawezi kimbia sana.
Kichatu cha miaka ya sitini huko
Sire God alitunyima akili makusudikallynachekaga sana nikiskia eti miaka ya sabini bongo tulikua uchumi sawa na china....😀😀😀😀😀😀
Daaah! Wanasiasa🙌 wanaweza kukuaminisha usiku kuwa ni mchananachekaga sana nikiskia eti miaka ya sabini bongo tulikua uchumi sawa na china....😀😀😀😀😀😀
🤣🤣🤣unaweza kukataa🙌🏿Hapo machatu yamelala baada ya mihangaiko ya siku nzima.
Daah hawa macho madogo shikamoo.
Halafu hawa ndio tunaambiwa tulikuwa nao uchumi mmoja miaka ya sitini🤡😎
Kwamba nikiwa na baiskeli yangu nikichochea naipita ?yetu ile ni joka la kibisa inaachwa hadi na basi.
Umeona machatu hayo lakini ?🤣🤣🤣unaweza kukataa🙌🏿
Hata akiwa mjusi tu Lucas Mwashambwa ataandiika vitabu na vitabu, mawaziri watapigana vikumbo kusifiaDuuh! Watu wapo mbali angalia machatu hapa chiniView attachment 2972132
Sisi kinyoka kimoja tu mpaka wachungaji na masheikh kukiombea🤡
Bado tupo nyuma sana inabidi tukimbie
Unashindwa kucheka unabaki kusikitika tu.yetu ile ni joka la kibisa inaachwa hadi na basi.
Daaah! Wanasiasa🙌 wanaweza kukuaminisha usiku kuwa ni mchana
Madingi wanafujo sana wale wakikaaga pale dodoma.
Kwa kweliSire God alitunyima akili makusudikally
Sio kwa zama hizi,,, Wabongo tushafunguka sana,,,,,hatuchotwi kizembe🙂Daaah! Wanasiasa🙌 wanaweza kukuaminisha usiku kuwa ni mchana
Tumeletewa cha mjusiKichwaa cha chatu tu kimetushindaa kama taifaa
👌👍👊🤝Reli ya kati ya mjerumani na Tazara ya macho madogo tumeziua kiaina.
Hii mpya yetu ndio tutaiweza ?
Huku tukijisifu...nchi ya kibwege sanaSisi bado tunahangaika na makuku haya.View attachment 2972154