Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabwege walikua wanatupiga kamba kwa kua hakukua na internet zama hizo. Watu walikuja kutujengea reli halafu waseme tulikua nao sawa. Akili ya wapi hii? Sisi wakujilinganisha nao labda Cambodia kwa kipindi hicho 😃Umeona machatu hayo lakini ?
Ndio utafananisha na kamjusi ketu ndio tuseme hawa tulikuwa nao sawa ?
Tena kinyoka chenyewe tumeuziwa cha mtumba! Yaani kilikuwa tayari ni screpa kilichotumika miaka ya 47 huko! Wahuni wakaenda kutuletea kwa bei kama ile ya kinyoka kipya!Duuh! Watu wapo mbali angalia machatu hapa chiniView attachment 2972132
Sisi kinyoka kimoja tu mpaka wachungaji na masheikh kukiombea🤡
Bado tupo nyuma sana inabidi tukimbie
Ndugu mtoa post kwanza unakosea sana kulinganisha tz ma china kwa miundo mbinu. Hawa ni first class, wanambana na mataifa makubwa kiuchumi sahizi. Kuhusu relintz ndio kwanza inaanza, taratibu , china hawakuanza na nyingi taratibu mpaka wamefika hapoDuuh! Watu wapo mbali angalia machatu hapa chiniView attachment 2972132
Sisi kinyoka kimoja tu mpaka wachungaji na masheikh kukiombea🤡
Bado tupo nyuma sana inabidi tukimbie
Watu mna maneno ya shombo , eti tumeuziwa mtumba 😂😂, wabongo hata mngeletewa treni ya mbinguni bado mngeikosoa tu
Mchina ni mkongwe ana historia kubwa, hii ya kwamba tulikua uchumi unalingana mimi nasema alipitia kipindi kigumu akafight kurudi kwenye level zake, sisi hata kupata historia yetu tu ya miaka ya zamani huko 1300 na kurudi nyuma ni tabu,Hapo machatu yamelala baada ya mihangaiko ya siku nzima.
Daah hawa macho madogo shikamoo.
Halafu hawa ndio tunaambiwa tulikuwa nao uchumi mmoja miaka ya sitini🤡😎
Unaongelea nchi yenye 1.42+ billion people, ushawahi jiuliza wako bize kiasi gani..?? Ushawah jiuliza muingiliano wa majiji yao (ingia toka) upo bize kiasi gani..??Duuh! Watu wapo mbali angalia machatu hapa chiniView attachment 2972132
Sisi kinyoka kimoja tu mpaka wachungaji na masheikh kukiombea🤡
Bado tupo nyuma sana inabidi tukimbie
21st centuryView attachment 2972181
Hii nchi ni kama ina laaana. Eti chuma. Ni kama makatuni kumbe ndio watu
Daaah! Kwelihivi vitu tutaishia kuviona kwa wenzetu tu
Yamkini ila mkuu ukifanya biashara na mzungu utafurahi.Hapo machatu yamelala baada ya mihangaiko ya siku nzima.
Daah hawa macho madogo shikamoo.
Halafu hawa ndio tunaambiwa tulikuwa nao uchumi mmoja miaka ya sitini🤡😎
Hakuna namna inabidi tu tukimbie walipo wenzetuanashindwa kuelewa hata idadi ya watu china si sawa na yetu
namna hii huo mtaala wa elimu mashuleni ni wakusukwa upya kwa kweli
Sisi tuna maisha yetu ya ajabu ajabuNchi iliyo na majizi wanaodanganya wananchi ndio utaona hata wakijenga Choo gari 100 zitafuatana huku billion zimepigwa
Mbona nchi zilizoendelea huoni wakionyesha train moja?
Barabara zinajengwa sisi tunaona diversion tu au kufungwa baadhi ya lanes lakini huoni inafunguliwa na Rais
Kwanini wanawaona wajinga hivyo
Sisi hata teknolojia ya kufua vyuma vyetu mpaka leo hola halafu tulikuwa nao sawa hawa macho madogo kweli ilikuwa chai ile😃Mabwege walikua wanatupiga kamba kwa kua hakukua na internet zama hizo. Watu walikuja kutujengea reli halafu waseme tulikua nao sawa. Akili ya wapi hii? Sisi wakujilinganisha nao labda Cambodia kwa kipindi hicho 😃