Angalia umri wa afisa mpya wa mawasiliano/habari wa ikulu ya Marekani (White House) pamoja na elimu yake! Njoo bongo!

Angalia umri wa afisa mpya wa mawasiliano/habari wa ikulu ya Marekani (White House) pamoja na elimu yake! Njoo bongo!

Usilinganishe kila kitu, siyo kila kitu kina linganishwa au kufananishwa.
 
Kama unataka kujifunza kwa Trump aliye suggest watu wadungwe disinfectants ili kudhibiti Corona...., All I can say you have set the bar too low.....

Ifike wakati tufanye mambo sababu ya merits na sio sababu fulani kafanya au hajafanya...
 
Nchi za Magharibi wao wanaangalia ubora au uwezo alionao mtu kisha ndipo mtu huyo anateuliwa, tofauti kabisa na hali ilivyo katika nchi zetu hizi za kiAfrika ambako watu huteuliwa kutokana na uchawa, ukada, undungu, na sifa nyinginezo kama hizi.
Mimi binafsi nilipokuwa kwenye nchi fulani hivi wakati nilipofuatilia Viza ya kutaka kuzuru kwenye nchi ya tatu, nilipofika katika Ofisi ya Ubalozi wa nchi hiyo ya tatu nilishangaa sana kukutana na Binti Mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 28 tu akiwa Balozi wa nchi hiyo niliyotaka kutembelea. Nilimuuliza maswali mara Mbili-mbili huyo kabinti Balozi ambaye alitambulishwa kwangu na Maafisa wa Ubalozi kuwa ndiye Boss wao hapo Ubalozini hivyo ninapaswa kwenda Ofisini kwake ili aweze kunifanyia usaili (interview) kwani Mimi sikuwa raia kwenye hiyo nchi ambayo nilikuwa naishi kwa wakati huo. Ni ajabu sana kwa msichana wa umri wa miaka 28 kuteuliwa kuwa Balozi wa Nchi, kitu ambacho siyo rahisi kutokea ktk nchi za Afrika.
Hiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kumuona Balozi wa Nchi akiwa na umri Mdogo Sana namna hiyo.
Hiyo ni wapi Balozi anafanya usaili....?! Maafisa wake wanafanya Nini? Be informed...sisi tuliwahi kuwa na Balozi Salim Ahmed Salim ktk umri wa miaka 21! Usituchukulie poa!
 
Are you seriously comparing a well-fed and raised American who grew up in the suburbs from one of the most advanced, wealthy, and powerful nations on the planet with a Tanzanian?

What's your logic or thought process behind that? Naiveté?
 
Kwa TANZANIA kijana wa 27 yrs akiwa na masters tu mabega yanazidi kichwa full kuona wenzie wajinga
 
Naona kuna mtu unanifananisha naye.
Hapana masjid .... Sijabahatisha shekh

Mwalimu wetu wa chuo alipata matatizo hayupo tena uzee ulichangia

Inshallah shekh Allah mwingi wa rehema tutakutana tena
 
Hapana, hayo ni mawazo yako tu, hunijui.

Na kama kawaida yenu Wabongo wengi ni mabingwa wa kutunga hadithi na kuziweka kama ukweli hata pale ambapo hamjui ukweli na mlitakiwa kuuliza tu kujuzwa.

Inawezekana kabisa mimi na wewe tusiweze kabisa kuelewana na jitihada za kuelewana zikawa sana na jitihada za kumfundisha guluguja asiye na ubongo wala uti wa mgongo hesabu za String Theory.
Lakini mzee uchawa Hadi huko kwenu upo vipi Biden hakuteuwa machawa wake?
 
Lakini mzee uchawa Hadi huko kwenu upo vipi Biden hakuteuwa machawa wake?
Uchawa haukosi. Katika mabalozi wa Marekani wengi wamepewa ubalozi kwa sababu wamechangia sana kwenye kampeni za marais.

Tofauti ni kwamba hapo awali watu walikuwa angalau wanaweka uchawa wenye sura ya professionalism, sasa hivi Trump anasema wazi kabisa kwamba anataka kujaza serikali chawa wake, na wengine kabla ya kuwateua anawaukiza kabisa "Utakubali kuwa chawa wangu?"

Haya mambo hayakuwahi kuwapo kwa kiasi hiki.
 
Nchi za Magharibi wao wanaangalia ubora au uwezo alionao mtu kisha ndipo mtu huyo anateuliwa, tofauti kabisa na hali ilivyo katika nchi zetu hizi za kiAfrika ambako watu huteuliwa kutokana na uchawa, ukada, undungu, na sifa nyinginezo kama hizi.
Mimi binafsi nilipokuwa kwenye nchi fulani hivi wakati nilipofuatilia Viza ya kutaka kuzuru kwenye nchi ya tatu, nilipofika katika Ofisi ya Ubalozi wa nchi hiyo ya tatu nilishangaa sana kukutana na Binti Mdogo kabisa mwenye umri wa miaka 28 tu akiwa Balozi wa nchi hiyo niliyotaka kutembelea. Nilimuuliza maswali mara Mbili-mbili huyo kabinti Balozi ambaye alitambulishwa kwangu na Maafisa wa Ubalozi kuwa ndiye Boss wao hapo Ubalozini hivyo ninapaswa kwenda Ofisini kwake ili aweze kunifanyia usaili (interview) kwani Mimi sikuwa raia kwenye hiyo nchi ambayo nilikuwa naishi kwa wakati huo. Ni ajabu sana kwa msichana wa umri wa miaka 28 kuteuliwa kuwa Balozi wa Nchi, kitu ambacho siyo rahisi kutokea ktk nchi za Afrika.
Hiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kumuona Balozi wa Nchi akiwa na umri Mdogo Sana namna hiyo.
Nyerere aliteua mabalozi hata waliokuwa kwenye early twenties na mid twenties, fanya utafiti.
 
Back
Top Bottom